The golden
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 1,381
- 2,553
Leo nimeamua tujadili hili swala.
Kuna watu , akiwemo Pasko Mayala wanapenda kusema , hapa kwetu hakuna upinzani wa kweli. Wapinzani hawana hoja kabisa.
Naomba kuuliza maswali yafuatayo ili nielewe vizuri.
1. Upinzani wa kweli ni upi? naomba features za upinzani wa kweli. Ikiwezekana toa mifano nchi zenye upinzani wa kweli na namna wanavyofanya siasa zao.
2. Wanasema upinzani hauna hoja za maana. Hoja za maana ni zipi? ,toa mifano kwenye maelezo yako.
3. wanaosema kuwa hapa kwetu hakuna upinzani wa kweli, kwa nini wao wasiwe wapinzani halafu waufanye huo upinzani wa kweli?
Karibuni kwa mjadala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu , akiwemo Pasko Mayala wanapenda kusema , hapa kwetu hakuna upinzani wa kweli. Wapinzani hawana hoja kabisa.
Naomba kuuliza maswali yafuatayo ili nielewe vizuri.
1. Upinzani wa kweli ni upi? naomba features za upinzani wa kweli. Ikiwezekana toa mifano nchi zenye upinzani wa kweli na namna wanavyofanya siasa zao.
2. Wanasema upinzani hauna hoja za maana. Hoja za maana ni zipi? ,toa mifano kwenye maelezo yako.
3. wanaosema kuwa hapa kwetu hakuna upinzani wa kweli, kwa nini wao wasiwe wapinzani halafu waufanye huo upinzani wa kweli?
Karibuni kwa mjadala.
Sent using Jamii Forums mobile app