robinson crusoe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2020
- 740
- 1,214
Hapa zaidi ya matusi umeandika nini? HAKUNA! Elimu haikutoshi ndo maana unasema Binadamu ni bora kuliko pumbav unayoijua. Binadamu anaweza kushi bila resources? Makabila mengine yaliyohamishwa uliona ni sawa, wamasai unaona wanaonewa? Foooool!Acheni uhuni Kwa kisingizio Cha resources binadamu ni Bora kuliko hao nyumbu unajua akili zenu zimesha dumaa hamna namna ya kupata vyanzo vipya vya mapato mnawaza tu mfukuze wamasai mmilikishe wazungu mmekua wajinga mpaka mmepitiliza iko wapi gesi ya mtwara mliopiga nayo watu na jeshi mkapeleka? Mnaleta blablaa na huku mkitumia wabunge ambao baadhi yao ni mazuzu tu hawajui lolote kuhusu ngorongoro wakati tunajua moja la ajabu ya ngorongoro no binadamu kuishi na simba Tena wakiheshimiana