Midimay
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 2,907
- 4,770
Mbons una stress sana? IQ yako ni ndogo. Kwanini unachanganya concept mbili kwenye uzi moja. Sasa tukueleweje? Unaitetea NCA au una malalamiko yako ya migogoro ya wakulima na wafugaji Moro?Wamasai wamedekezwa kwa miaka mingi kwa kisingizio cha kuwabadilisha; wapende shule, wapunguze mifugo, sijui bhla! bhla gani. Wamekuwa wasumbufu wanaojidai kutojua sheria za nchi kwa kisingizio eti ndivyo walivyo. Hawa wanajifanya na wametumia mwanya huo kundekeza ukabila na kujifanya wao ni maalumu, special. Mkoani Morogoro wanasumbua wakulima na tunaambiwa ni mgogoro wa wakulima na wafugaji, badala ya kusema ni wamasai na wakulima.
Serikali inashindwa kuwaambia waondoke na tabia yao mbovu ya kutoheshimu kilimo. Mkoa wa Morogoro una makabila mengi ya wafugaji, lakini wanaonesha ustaarabu. Wapo wasukuma waliohamia, wapo wakaguru pia. Mifugo kuharibu mazao ni kawaida na mara zote wafugaji wastaarabu hujutia tukio hilo. Tatizo ni wamasai kutokuwa na ustaarabu na kujifanya hawajui maana ya kilimo. Sasa tena eti tunahangaishwa na Ngorogoro!
Serikali inahangaika kuwaondoa. Hao watu waondoeni, ibaki idadi inayokubalika. Kuwa mmasai isiwe ni kigezo cha kuishi na nguruwe. Wao siyo kabila la kwanza kuhamishwa nchi hii. Makabila mengi yalishahamishwa bila fidia na hadi leo wanaishi kwa amani. Tusiwafanye ni special.
Mbona una stress sana?
Hawa waajiriwa wa NCAA mna wasi wasi sana. Hamna namna, mtarudi tu kwenu kulima tangawizi na vitunguu. Hata Wamasai wakiondolewa, mtaondoka tu.
Mabadiliko yoyote ndani ya Ngorongoro yatakuja na establishment na changes mbali mbali.
Mtakufa na stress.