Nchi gani ya Afrika iliyoongozwa/tawaliwa na Rais mmoja tu kwa miaka mingi na ikapata maendeleo?

rwanda haina maendeleo yoyote. kagame anajiongezea muda kuhofia akitoka madarakani leo kesho saa 4 asubuhi anaburutwa mahakamani kwa makosa ya uhalifu na ukiukwaji wa haki za binadamu.
 
Waafrika sijui mkoje yani kutwa mnajadili nafasi za uongozi tu kana kwamba kubadilisha viongozi ndio maendeleo hivi mnafikiri wenzetu. wameendelea kwa sababu ya kubadilisha viongozi? Tuache kuficha ujinga wetu kwa kutupia lawama et waafrika matatizo yetu viongozi wetu sijui hakuna demokrasia.
 
Waafrika sijui mkoje yani kutwa mnajadili nafasi za uongozi tu kana kwamba kubadilisha viongozi ndio maendeleo hivi mnafikiri wenzetu. wameendelea kwa sababu ya kubadilisha viongozi? Tuache kuficha ujinga wetu kwa kutupia lawama et waafrika matatizo yetu viongozi wetu sijui hakuna demokrasia.
Uko sawa na ukiweka demokrasia kwa kiwango kikubwa na ujinga wa wananchi ndio Tutakua Duni zaidi.
Unawapaje demokrasia Watu ambao wakipewa chumvi na T-shirt wanamchagua Huyo aliyewapa? Situtapata viongozi wajinga Sana.
Sie wavivu sana na tunapenda mteremko na demokrasia kwetu ni kula rushwa na kuachwa au kupelekwa mahakamani kuendelea kutandaza rushwa.
Mtu mjinga anaenunulika huwezi kumpa demokrasia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waafrika sijui mkoje yani kutwa mnajadili nafasi za uongozi tu kana kwamba kubadilisha viongozi ndio maendeleo hivi mnafikiri wenzetu. wameendelea kwa sababu ya kubadilisha viongozi? Tuache kuficha ujinga wetu kwa kutupia lawama et waafrika matatizo yetu viongozi wetu sijui hakuna demokrasia.
Wanasahau viongozi hawatoki Jupiter au Mars...ni miongoni mwetu.

Kila kukicha kujadili uongozi uongozi....maendeleo hayaletwi na viongozi tu... tuangalie Uvumbuzi uliofanyika ulimwenguni ni viongozi wangapi wamevumbua...
 
Iko mifano mingi Afrika ya nchi ambazo marais wake wameongoza au tawala kwa muda mrefu (miaka mingi) lakini hakuna chochote cha maana walichofanya. Kutaja kwa uchache, Uganda na Congo!!!

Itambulike iwe Rais mwenyewe, wasaidizi wake, washauri wake au mwananchi wa kawaida kufikiria tu rais aongezewe muda ni ubinafsi ambao matokeo yake ni udikiteta!

Kikwanzo kikubwa sana cha maendeleo Afrika ni ubinafsi (udikiteta) sio mabeberu. Hivi nchi yenye raia zaidi ya 50 m unawezaje kufikiri wewe ni bora zaidi kuliko wengine wote. Wazo kama hilo ni ubinafsi ambao huzaa udikiteta.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.
Hapana ni kumpenda tu mtu au kiongozi ndo kinasababisha akae sana madarakani. Kwa mfano Chadema kuna wanachama wengi sana lakini wote hawawezi kuongoza kama Mbowe ndo maana tunataka arudi tena kwenye uwenyekiti. Kwani huo ni udikiteta? Uchaguzi unafanyika lakini bado kipenzi cha watu.
 
1576232305344.png


1576232387915.png


 
Tufanye kazi eti ehh?
Waafrika sijui mkoje yani kutwa mnajadili nafasi za uongozi tu kana kwamba kubadilisha viongozi ndio maendeleo hivi mnafikiri wenzetu. wameendelea kwa sababu ya kubadilisha viongozi? Tuache kuficha ujinga wetu kwa kutupia lawama et waafrika matatizo yetu viongozi wetu sijui hakuna demokrasia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iko mifano mingi Afrika ya nchi ambazo marais wake wameongoza au tawala kwa muda mrefu (miaka mingi) lakini hakuna chochote cha maana walichofanya. Kutaja kwa uchache, Uganda na Congo!!!

Itambulike iwe Rais mwenyewe, wasaidizi wake, washauri wake au mwananchi wa kawaida kufikiria tu rais aongezewe muda ni ubinafsi ambao matokeo yake ni udikiteta!

Kikwanzo kikubwa sana cha maendeleo Afrika ni ubinafsi (udikiteta) sio mabeberu. Hivi nchi yenye raia zaidi ya 50 m unawezaje kufikiri wewe ni bora zaidi kuliko wengine wote. Wazo kama hilo ni ubinafsi ambao huzaa udikiteta.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.
Haipo na haitakuwepo? zinazidi kuwa maskini tu, Angalia Magu tua anakotupeleka ndio kwamza ana ndoto za kututawala miaka 20.
 
Iko mifano mingi Afrika ya nchi ambazo marais wake wameongoza au tawala kwa muda mrefu (miaka mingi) lakini hakuna chochote cha maana walichofanya. Kutaja kwa uchache, Uganda na Congo!!!

Itambulike iwe Rais mwenyewe, wasaidizi wake, washauri wake au mwananchi wa kawaida kufikiria tu rais aongezewe muda ni ubinafsi ambao matokeo yake ni udikiteta!

Kikwanzo kikubwa sana cha maendeleo Afrika ni ubinafsi (udikiteta) sio mabeberu. Hivi nchi yenye raia zaidi ya 50 m unawezaje kufikiri wewe ni bora zaidi kuliko wengine wote. Wazo kama hilo ni ubinafsi ambao huzaa udikiteta.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.
Libya

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Libya ilikuwa na maendeleo chini ya Gadaffi

Sent using Jamii Forums mobile app
Maendeleo ni nini?

Nilikuwa nakaa karibu na wafanyakazi wa ubalozi wa Libya Upanga, walikuwa wanagombea nafasi za kuja Tanzania.

Wanasema Libya hakuna Uhuru, Gaddafi anawabana sana, wanafurahi wakiwa Tanzania wanakuwa huru.

Kuna kitabu kiliandika uchafu wa Gaddafi vizuri sana, kinaitwa "
Gaddafi's Harem: The Story of a Young Woman and the Abuses of Power in Libya"
by Annick Cojean.
 
Unapotawala binadamu maendeleo yakapatikana ktk utawala wako lkn bado wakakuchukia na kutaka kukuhujumu basi ni sharti uelewe kuwa kuna kitu muhimu wanachohitaji zaidi ya hayo maendeleo na ambacho wanaelewa wewe huwezi kukitoa.

Maendeleo hayaji eti kwa kuwa mna mtawala wa maisha, ingekuwa hivyo hata Cameroon, Uganda, Congo Rep, Sudan, Equatorial Guinea, Rwanda nk zingekuwa matajiri na ndizo zingekuwa zinazisaidia mataifa mengine ya kiafrika. Lkn hamna kitu kama hicho.
 
NAONA KUNA RAIS FLANI ANAJITAHIDI KUJIPANGA KUTAWALA MILELE ANAONA KUMI HAIMTOSHI NA HIYO 20 ANAYOTAKA IKIISHA ATATAKA 30 MINGINE KWANI ATAKUWA MWOGA KUKAA NJE YA IKULU KULINGANA NA UCHAFU ANAOUFANYA NA ULE ATAKAOUFANYA NAONA BAADHI YA WAFUASI WA CHAMA CHAKE WANAKENUA TU HAWAONGEI CHOCHOTE WASIJIDANGANYE KWAMBA JAMAA AKIFANIIWA KUTAWALA HIYO MIAKA KWAMBA WAO WATAKUWA SALAMA LA HASHA HUU UPINZANI UNAODHARAULIWA NDIYO KITAKUWA KIVULI CHA WANAOUNGUA NAJUA NA UKITAKA UJUE NI KWAMBA HATA YEYE RAIS YUPO HAPO KWA 7BU YA UPINZANI
Siungi mkono hoja ya kuongeza muda lakini sikubaliani na wazo kwamba hapo ikulu anachofanya ni uchafu.
 
Back
Top Bottom