comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,939
Wadau habari jana nilitafakari sana sana nikafikia tamati ya mawazo yangu kwamba katika diplomasia fulani kiongozi anaweza kung'amua mapema michezo michafu ya nchi husika hivyo akashauriwa akaachana na mahusiano kitendawili yasiofaa.
Hivyo kiongozi aakacha kuihusudu nchi ya Bosnia hezegovina, inawezakana nchi ya Bosnia inaagenda yake ya siri kwa kuwa kiongozi wake ametokea kwenye jamii ya intellijensia, lakini kiongozi wa Chechnia hana hata uelewa wa masuala ya kiintelijensia ya kimataifa lakini kiongozi, Alexandre ivanovich aliigundua mapema kwa kupokea ushauri kutoka kwa Mkurugenzi mkuu wake wa usalama bwana Victor Vyerichev kwa kuambiwa punguza mahusiano na Bosnia kwa kuwa kuna dalili zote kwamba kuna kikundi cha kuua watu ndani ya nchi ya Bosnia kinavuka mipaka na kufanya mauaji kwa nchi ya Chechnia ili kuichafua nchi ya Chechnia kuiporomosha kiuchumi,kisiasa na kiuslama,kisa tu imetulia kwa miongo,na inaonekana nchi ya Chechnia iliwahi kuishauri Bosnia iache kuingilia na kuibiia cremia mafuta yake.
Mkurugenzi wa usalama wa Chechnia bwana Victor Vyerichev akatoa angalizo kali kwa kiongozi huyo na kumwambia hatakua tayari kuiona Chechnia inaangamia, kuja kustuka ilikua ndoto na kuamua kuamka asubuhi kusali na kupasha mwili joto.
Hivyo kiongozi aakacha kuihusudu nchi ya Bosnia hezegovina, inawezakana nchi ya Bosnia inaagenda yake ya siri kwa kuwa kiongozi wake ametokea kwenye jamii ya intellijensia, lakini kiongozi wa Chechnia hana hata uelewa wa masuala ya kiintelijensia ya kimataifa lakini kiongozi, Alexandre ivanovich aliigundua mapema kwa kupokea ushauri kutoka kwa Mkurugenzi mkuu wake wa usalama bwana Victor Vyerichev kwa kuambiwa punguza mahusiano na Bosnia kwa kuwa kuna dalili zote kwamba kuna kikundi cha kuua watu ndani ya nchi ya Bosnia kinavuka mipaka na kufanya mauaji kwa nchi ya Chechnia ili kuichafua nchi ya Chechnia kuiporomosha kiuchumi,kisiasa na kiuslama,kisa tu imetulia kwa miongo,na inaonekana nchi ya Chechnia iliwahi kuishauri Bosnia iache kuingilia na kuibiia cremia mafuta yake.
Mkurugenzi wa usalama wa Chechnia bwana Victor Vyerichev akatoa angalizo kali kwa kiongozi huyo na kumwambia hatakua tayari kuiona Chechnia inaangamia, kuja kustuka ilikua ndoto na kuamua kuamka asubuhi kusali na kupasha mwili joto.