FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,872
- 109,169
Papua New Guinea: Nchi inayotesa, nyanyasa, piga, baka wanawake bila kujali..
Ukishangaa ya Wakurya... Nchi ambayo ni hatari zaidi kuishi duniani (Kwa mwanamke tu?) Katika kila wanawake watatu wawili wameshafanyiwa unyama wa aina moja au nyingine. 70% ya wanawake wameshabakwa. Mwanamke kupigwa na chochote kile ni kawaida kabisa kwa kauli zao wenyewe. Juzi katika...
www.jamiiforums.com