EMMANUEL NSAMBI
JF-Expert Member
- Oct 25, 2011
- 402
- 83
Hivi kwanini kama katishiwa asihojiwe na Polisi kama ilivyokuwa kwa akina Slaa?
Akiomba muongozo wa spiker Mwigula Mchemba amesema ametishiwa kuuwawa na baadhi ya wabunge wa Chadema kwa kumtumia sms akilinganisha na tukio la kuuwawa kwa kijana wa uvccm iramba.
hoja za kishoga!Subirini mnyolewe, mnyoaji Mwigulu ameisha wafikia , na ananyoa nywele za aina zote mwilini
Hakuna asiyejua mko humu kuuaminisha ummma kwamba wana jf wote ni chadema,mmechemsha na ubongo wenu wa samamki,wauaji tunawajua ni chadema na sabau za kuua zinajulikana,mmetangaza mtamwaga damu na mmmeanza sasa,kila la heri na madaraka ya damu za watanzania.
Huu ulioandika sasa ndio tunaouita ***** na usio na tija bali umepoteza muda wako bure. Kuua muuwe CDM , Mwigulu anahusikaje hapo ? Nyie ni wauaji na sheria ichukue mkondo wake
Sikushangai unayosema kwan unamsifu hata alipokuchukulie mke kule IGUNGA alimnyoa nywele mwili mzimaSubirini mnyolewe, mnyoaji Mwigulu ameisha wafikia , na ananyoa nywele za aina zote mwilini
Huyo aliyekufa alikutwa na majeraha au alikunywa gongo?.