Paul Ndugulile
Member
- Jul 15, 2012
- 22
- 2
Mwigulu vipi! murder zote hupelekwa Mahakamani, iweje uombe utaratibu Bungeni ili kujadili vurugu za Iramba na kupelekea mauaji ya mfuasi wa ccm, mbona hukuomba utaratibu kwa kutekwa Dr.wetu Ulimboka? Acha Bunge liokoe muda na fedha ya walipa kodi,Wahi kwenye sheria.