Majuto Ngozi
JF-Expert Member
- Jun 18, 2013
- 211
- 49
Inawezekana hivi ninavyoandika ujumbe huu upo sehemu ukitathimini mafanikio ya mipsngo yako ulioplan huko Arusha, bila shaka unafurahi kwa kuona umefanikiwa kile ulichopanga japo uliowalenga hukufanikiwa kuwapata na kuwa wasio hatia, naamini haupo peke yako bali kuna walio nyuma yako, inawezekana huna dini lakini najua umesoma kitabu kitakatifu cha torati kuwa auwae kwa upanga atauawa kwa upanga, pingu na nchi itapita ila neno hili halitapita kamwe, nami naongezea livumalo halidumu.