MENDE JEURI
Senior Member
- Apr 6, 2011
- 198
- 28
Huku Sinza na maeneo ya MABIBO kila mtu anachukizwa na tabia ya Mnyika ya kujishushia hadhi hadi kutolewa nje huku yeyey akidhania ni ushujaa. Kuna jamaa anaitwa Mshana ndiye anaandaliwa kutwaa jimbo la Ubungo kwa sasa. Stay tuned.....Siyo huko tu hata wasomi wamemchoka wenzake aliosoma nao wanamdharau,hivi wenzake aliosoma nao wanampango wa kwenda kumtoa jimboni maana wakati anataka kugombea aliwashirikisha halafu hivi sasa wanaona ni pumba tupu inawauma sana