Nchemba amewashangaa vyama vya upinzani kwa kuweka wagombea katika uchaguzi mdogo wa madiwani

radika

JF-Expert Member
Jul 15, 2014
20,427
32,196
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba amewashangaa vyama vya upinzani kwa kuweka wagombea katika uchaguzi mdogo wa madiwani nchini kwani kwasasa ilani inayofanya kazi ni ya CCM na kwamba hao wagombea wao wataenda kutekeleza ilani gani. Ameyasema hayo wakati akiwa katika kata ya Siuyu Jimbo la Singida Mashariki wilaya ya Ikungi alipokuwa akifungua kampeni za mgombea Udiwani kupitia tiketi ya CCM baada ya diwani Gerald Mahami wa CHADEMA kuvuliwa uongozi kutokana na kutoshiriki vikao vya baraza la madiwani la halmashauri ya Ikungi.


wakuu bapa nchemba alikuwa sahihi?
 
Huyo ni Waziri wa Singida pekee?? Matukio yasehemu zingine haonekani.....siku hizi anaonekana ,Singida tu
 
Halafu useme msimamizi amtangaze mpinzani, wakati huyo anayesema hivyo ni waziri wa mambo ya ndani ?!
 
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba amewashangaa vyama vya upinzani kwa kuweka wagombea katika uchaguzi mdogo wa madiwani nchini kwani kwasasa ilani inayofanya kazi ni ya CCM na kwamba hao wagombea wao wataenda kutekeleza ilani gani.

Hapa ndipo unapoona ubovu wa katiba ya Tanzania...

Kwa lugha nyingine Bw. Nchemba ni kama anakoleza wino katika kauli ya Bw. Magufuli ya kwamba hakuna haja ya mishemishe za kisiasa hadi hapo 2020 na kwa mantiki hiyo basi acha CCM na itawale tu...

Sina uhakika kama Bw. Nchemba alipata wasaa wa kujua kama hiyo ilani ya CCM wananchi wameitathimini na kuona inafaa hata waendelee kuichagua viongozi toka CCM...

Nadhani alipaswa kurudi nyuma na kuavha matokeo yazungumze ili wao kama CCM wajue ya kwamba ilani imekubalika au imekosa matumani toka kwa wananchi...
 
Hapa ndipo unapoona ubovu wa katiba ya Tanzania...

Kwa lugha nyingine Bw. Nchemba ni kama anakoleza wino katika kauli ya Bw. Magufuli ya kwamba hakuna haja ya mishemishe za kisiasa hadi hapo 2020 na kwa mantiki hiyo basi acha CCM na itawale tu...

Sina uhakika kama Bw. Nchemba alipata wasaa wa kujua kama hiyo ilani ya CCM wananchi wameitathimini na kuona inafaa hata waendelee kuichagua viongozi toka CCM...

Nadhani alipaswa kurudi nyuma na kuavha matokeo yazungumze ili wao kama CCM wajue ya kwamba ilani imekubalika au imekosa matumani toka kwa wananchi...

kweli mkuu huyu jamaa kaniacha hoi sana nahisi kwa sasa kaamua kutetea ugali wake kwa kumfurahisha mtu mmoja.
 
asishangae matokeo yatakapokuwa tofauti na mawazo yake,ili mradi tu,wakubaliane na uamuzi wa wananchi
 
Haya mambo yameelezwa vizuri sana ktk vitabu vya civics form two kuhusu demokrasia na chaguzi. Sasa hawa wasomi wetu wenye nyadhifa kauli zao hii ni aibu sana .
 
Si jambo la ajabu maneno kama hayo kutumika kwenye kampeni.. Huo ndo ushawishi wenyewe.
 
Hapa ndipo unapoona ubovu wa katiba ya Tanzania...

Kwa lugha nyingine Bw. Nchemba ni kama anakoleza wino katika kauli ya Bw. Magufuli ya kwamba hakuna haja ya mishemishe za kisiasa hadi hapo 2020 na kwa mantiki hiyo basi acha CCM na itawale tu...

Sina uhakika kama Bw. Nchemba alipata wasaa wa kujua kama hiyo ilani ya CCM wananchi wameitathimini na kuona inafaa hata waendelee kuichagua viongozi toka CCM...

Nadhani alipaswa kurudi nyuma na kuavha matokeo yazungumze ili wao kama CCM wajue ya kwamba ilani imekubalika au imekosa matumani toka kwa wananchi...
Tangu nimezaliwa sijawahi kujua dira yetu ni ipi,nimeshudia mkurabita,mkukuta,kilimo kwanza na sasa viwanda sijajua kipi tumefanikiwa,nilidhani kilimo kwanza kingetiliwa mkazo kiwe cha kisasa tupate malighafi ya viwanda na ndipo wazo la viwanda lingekuja,karibu 75% ya wananchi ni wakulima lakini wakifanya kilimo duni na zana duni wakitegemea mvua kufanya uzalishaji.Sijajua ninani atakaye vaa viaatu vya Mwl.Nyerere aliyejenga viwanda tena vikubwa kila kona ya nchi baadae tukamua kuviua,jambo ambalo lilikuwa ni kuviendeleza hivyo viwanda kwa kubadilisha teknolojia.Mwl.Nyerere ulipo pumzika kwa Amani,japo katiba uliyo tuachia inamapufungu kiasi kwamba Mkuu wa Wilaya akisikia kumlaza ndani mtu masaa 48 anafanya hivyo.Ulituachia National Milling,Ranchi kubwa kila kona,mashamba makubwa ya Ngano na Shahiri n.k sasa hivi imebaki historia na kizazi cha waliozaliwa late 80's na earl 90's awawezi kuelewa.Sasa hivi wasomi wetu wa cheti,stashahada,shahada n.k wakimaliza chuo awana pa kwenda,kungekuwa na viwanda vya enzi yako wangeajiriwa na hivyo viwanda.
 
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba amewashangaa vyama vya upinzani kwa kuweka wagombea katika uchaguzi mdogo wa madiwani nchini kwani kwasasa ilani inayofanya kazi ni ya CCM na kwamba hao wagombea wao wataenda kutekeleza ilani gani. Ameyasema hayo wakati akiwa katika kata ya Siuyu Jimbo la Singida Mashariki wilaya ya Ikungi alipokuwa akifungua kampeni za mgombea Udiwani kupitia tiketi ya CCM baada ya diwani Gerald Mahami wa CHADEMA kuvuliwa uongozi kutokana na kutoshiriki vikao vya baraza la madiwani la halmashauri ya Ikungi.


wakuu bapa nchemba alikuwa sahihi?
Ccm wanahangaika sana
 
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba amewashangaa vyama vya upinzani kwa kuweka wagombea katika uchaguzi mdogo wa madiwani nchini kwani kwasasa ilani inayofanya kazi ni ya CCM na kwamba hao wagombea wao wataenda kutekeleza ilani gani. Ameyasema hayo wakati akiwa katika kata ya Siuyu Jimbo la Singida Mashariki wilaya ya Ikungi alipokuwa akifungua kampeni za mgombea Udiwani kupitia tiketi ya CCM baada ya diwani Gerald Mahami wa CHADEMA kuvuliwa uongozi kutokana na kutoshiriki vikao vya baraza la madiwani la halmashauri ya Ikungi.


wakuu bapa nchemba alikuwa sahihi?
Angekua yuko sahihi basi kusingekua na uchaguzi.
Ingekua tu akijiuzulu Diwani yoyote basi Tume ya Uchaguzi inaiambia tu CCM iteue Diwani mwengine automatically.
 
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba amewashangaa vyama vya upinzani kwa kuweka wagombea katika uchaguzi mdogo wa madiwani nchini kwani kwasasa ilani inayofanya kazi ni ya CCM na kwamba hao wagombea wao wataenda kutekeleza ilani gani. Ameyasema hayo wakati akiwa katika kata ya Siuyu Jimbo la Singida Mashariki wilaya ya Ikungi alipokuwa akifungua kampeni za mgombea Udiwani kupitia tiketi ya CCM baada ya diwani Gerald Mahami wa CHADEMA kuvuliwa uongozi kutokana na kutoshiriki vikao vya baraza la madiwani la halmashauri ya Ikungi.


wakuu bapa nchemba alikuwa sahihi?
 
Back
Top Bottom