NCCR yamtaka Mh Ezekiel Wenje kuomba radhi

Nadhani hili suala litazamwe kama mtu binafsi katoa tamko, kwani hawana utaratibu wa kuratibu nini kitaongelewa katika mikutano yao na nani aongelee nini na hakuna ile limit ya kuongea mtu atakavyo ndio maana hata dogo kule Arusha akagusia jambo ambalo hata mtoto mdogo alishangaa mbunge kumtena Rais kutoka eneo fulani.
Katika mazungumzo ya kumaliza tatizo la Kawe, viongozi walikubaliana kwamba upande unaohusika kwa kutoa matusi, kejeli na vijembe visivyo na maana uwatake wanachama wake kuacha mara moja mambo hayo. Sasa huu ni ushahidi dhahiri kwamba hawakufanya hivyo.
 
Safi sana wagawanye uwatawale , Jk uliganya kazi kubwa sana kumpa ubunge Mbatia
 
Tusikurupuke,Wenje alitoa kauli hiyo ktk mazingira gani,maada ipi na akiwa anaongea na nani,na ni kwa sababu zipi? Huwezi kuongea from nowhere kwamba NCCR ni ccm B ila ni kwa kuwa kuna background information.Mfano,wabunge wanatenda kazi kwa ajili ya kutekeleza sera za vyama vyao.Sasa tudadavue kidogo:mbunge wa NCCR alieteuliwa na Rais ambaye ni mwenyekiti wa CCM,atafanya kazi kwa misingi ya sera zipi NCCR au MAGAMBA?
Ni mwezi huu wabunge wateule wataanza kazi, fuatilia ujue kitakachojiri kuliko kujenga hoja kwenye hisia
 
Katika mazungumzo ya kumaliza tatizo la Kawe, viongozi walikubaliana kwamba upande unaohusika kwa kutoa matusi, kejeli na vijembe visivyo na maana uwatake wanachama wake kuacha mara moja mambo hayo. Sasa huu ni ushahidi dhahiri kwamba hawakufanya hivyo.

Binafsi nafikiri kwa wapenda mageuzi yenya manufaa kwa nchi yetu dalili walizoonyesha NCCR na Chadema kuwa kitu kimoja ni jambo moja zuri sana. Kasoro hizi ndogo ndogo zinahitaji kufanyiwa kazi na ikiwezekana tuwajuze wahusika kuwa makini katika kuali zao. Kwani bado ndio wanajipanga vizuri kujiweka sawa. Sisi tunaojadili hapa tusiwe na ile hamasa na kuona jambo la pekee kwani itakuwa ni sawa na kuchochea. Hakuna binadamu aliye mkamilifu, ndio maana tuna kuwa na nafasi ya correction, la sivyo tungekuwa tayari tu watakatifu.
 
nimeona malalamiko yao lakini nafikili ifikie mahala hawa watu wawe wanatizama kauli imesemwa na nani ndio unaanza kuangalia namna ya kumtaka mtu akuombe radhi eti unalalamika mtu mwenyewe Ezekia wenje au shibuda, lusinde, kafulila au nasari na huyu komba ni upuuzi tu.
Acheni vyombo vya habari kuvipotezea muda.
 
Hao ndio CHADEMA, juzi juzi tu walikuja kwetu (NCCR) wakiomba tuyamalize na kesi ya Kawe ifutwe, tukawasikiliza na wakaahidi kuacha tabia zao za matusi na kejeli dhidi yetu. Baada ya kuwafutia kesi kama walivyoomba sasa wameshatuona mabwege.

Mkuu kusema ukweli ni matusi? Mbatia ni CCM B Mark my words
 
ritz@ umesema ukweli mtupu, nilisoma habari hii nilishangaa kwani hivi majuzi tu wamekuwa na maongezi ya pamoja hadi kufuta kesi ya Mdee, sasa kuja na kauli hiyo si dalili nzuri ya vyama vya upinzani kuwa na nguvu moja.

Mkuu tutaungana NCCR isiyo chini ya Mbatia.
 
Binafsi nafikiri kwa wapenda mageuzi yenya manufaa kwa nchi yetu dalili walizoonyesha NCCR na Chadema kuwa kitu kimoja ni jambo moja zuri sana. Kasoro hizi ndogo ndogo zinahitaji kufanyiwa kazi na ikiwezekana tuwajuze wahusika kuwa makini katika kuali zao. Kwani bado ndio wanajipanga vizuri kujiweka sawa. Sisi tunaojadili hapa tusiwe na ile hamasa na kuona jambo la pekee kwani itakuwa ni sawa na kuchochea. Hakuna binadamu aliye mkamilifu, ndio maana tuna kuwa na nafasi ya correction, la sivyo tungekuwa tayari tu watakatifu.
Mkuu Candid, uko sawa. Lakini ni mara nyingi tu upande wa NCCR tumejitahidi kutokwaruzana na wenzetu hawa kwa mujibu wa makubaliano yanayokuwa yamefikiwa na viongozi wa pande mbili, lakini wenzetu huwa haichukui muda wanarejea yale yale. Fuatilia hata humu JF uone mashabiki wao wanavyomwaga matusi ya nguoni dhidi ya NCCR na viongozi wake. Endapo upande wao watakuwa bado wanaona haja ya kufanya kazi pamoja, hawana budi kukomesha tabia hii, na kuomba radhi kama Mheshimiwa alivyowataka, waone tu kwamba wakifanya hivyo ni hatua ya kiungwana tu, kama wanatambua kwamba mwanachama wao kakosea.
 
Mkuu Candid, uko sawa. Lakini ni mara nyingi tu upande wa NCCR tumejitahidi kutokwaruzana na wenzetu hawa kwa mujibu wa makubaliano yanayokuwa yamefikiwa na viongozi wa pande mbili, lakini wenzetu huwa haichukui muda wanarejea yale yale. Fuatilia hata humu JF uone mashabiki wao wanavyomwaga matusi ya nguoni dhidi ya NCCR na viongozi wake. Endapo upande wao watakuwa bado wanaona haja ya kufanya kazi pamoja, hawana budi kukomesha tabia hii, na kuomba radhi kama Mheshimiwa alivyowataka, waone tu kwamba wakifanya hivyo ni hatua ya kiungwana tu, kama wanatambua kwamba mwanachama wao kakosea.

Mkitaka ushirikiano nasi Fukuzeni kibaraka Mbatia
 
ruhuza na Slaa.jpg
Hapa ni miezi minne tu iliyopita
 
Ukweli una tabia ya kuuma. Machali na the so called Mbatia go to hell now
 
Mkuu Candid, uko sawa. Lakini ni mara nyingi tu upande wa NCCR tumejitahidi kutokwaruzana na wenzetu hawa kwa mujibu wa makubaliano yanayokuwa yamefikiwa na viongozi wa pande mbili, lakini wenzetu huwa haichukui muda wanarejea yale yale. Fuatilia hata humu JF uone mashabiki wao wanavyomwaga matusi ya nguoni dhidi ya NCCR na viongozi wake. Endapo upande wao watakuwa bado wanaona haja ya kufanya kazi pamoja, hawana budi kukomesha tabia hii, na kuomba radhi kama Mheshimiwa alivyowataka, waone tu kwamba wakifanya hivyo ni hatua ya kiungwana tu, kama wanatambua kwamba mwanachama wao kakosea.

Nimekuwa nasoma matamko mengi mbalimbali, si kwa NCCR tu, pengine hata baadhi ya matamko dhidi ya serikali na CCM yasingepaswa kutolewa kwa kauli kali kama wakati fulani wanapofanya.

Chadema wanatakiwa kuwa na ile lugha ya kidiplomasia, haiumizi lakini wanawakuwa wamesema yote. Sasa wawapo majukwaani wanaonekana kama hata hajapitia shule na kupata angalao utangulizi wa somo la effective speaking ambayo inajulikana kama ritokis, somo ambalo huwa kuanzia madarasa ya chini kabisa ila wengi huwa hatujui kama ndilo somo muhimu mtu uwapo jukwaani. Hayo masomo kwa kiingereza ni English composition na kwa kiswahili ni fasihi. Ukienda Chuo Kikuu na hasa graduate school wasiopitia wanatishika na neno tu ritoriks kumbe ni jambo wanalojifunza hata madarasa ya chini. Juu huko wanatisha kwa vocabulary tu.
 
NCCRs your insignificants to the people politics so shut-up ****up.
 
ni ninyi mliokuja kwetu kuomba ushirikiano na maelewano

Ndugu yangu tujaribu kuangalia mambo kwa mwono mpana na wa kitaifa zaidi. Hata katika familia kuna makosa makubwa ambayo hutokea, lakini baadaye wanaweza kusahihisha tofauti zao na kisha kukaa meza moja tena kupata dinner.
 
Back
Top Bottom