Akiongea kwa jazba kali Mh moses Machali alisema kua kitendo alichokifanya Wenje kumuita mwenyekiti wao James Mbatia kua ni kibaraka kwa kukubali uteuzi wa rais hakiwezi kuvumilika na kumtaka Wenje kuomba radhi na kufuta kauli yake.
Kosa la wenje lipo wapi sasa? Huyu moses machali anatumiwa sana na mbatia kwani nilishamuona tangu kwenye ishu ya kafulia, Mosese machali inabidi ujiangalie maana kumnyooshea kidole wenje ni sawa na kujaribu kuupaka rangi upepo.
Machali na NCCR wenzie waache kulialia. They should grow up and act like MEN. Kulialia kila ukikosolewa ni utotot. Kama Wenje kasema wao ni CCM ni wamoja Machali alitakiwa ajibu kwa kuonesha ni jinsi gani NCCR ni tofauti au hawako pamoja na CCM. Hawezi kumuambia Wenje amuombe msahama kwa sababu amesema anachokiamini, sasa ni kazi ya NCCR kusema otherwise.
Na kama kweli NCCR-mageuzi sio vibaraka kwanini Kafulila bado yuko bungeni? Na kwa nini Spika wa bunge ambaye ni mjumbe wa CC ya CCM amtetea Kafulila? Sheria ya vyama vya siasa iko clear, ukifutwa uanacha na ubunge unapotea. Sasa kwa nini CCM watafute story za kuungaunga ili Kafulila arudi Bungeni? The same na Hamad Rashid na CUF yake.
Lakini sote tunakumbuka wawili walivyokuwa wanapiga kelele uwe kuwe na kambi mbili toka upande wa upinzani.
rafiki machali acha kuwa machalari ya mbatia ,,,,, mbatia hawezi nyanyuka tena kisiasa,,,ameteuliwa mbunge strategies kuuvuruga upinzani moshi,,,hawakupata mtu baada ya kina ngawaiya kushindwa,,,,mbatia hawezi,,utaihia naye kisiasa,,, soma alama za nyakati,,,,,utapitwa na wakati ungali kijana,,huon maige inavyomgharimu kutaka kumentain,,,,,alitenda kazi kama mawaziri wazee ambao ni wastaafu,,,,akaanguka nao sasa anahaha,,,,tulia soma game,,,utajikuta unauhitaji ubunge kupitia cdm,,,,,take it from mimi mwenyewe,,,,
Nimemuona anatoka povu kabisa kumtetea boss wake. Kila mtu anajua kuwa Mbatia ni kibaraka na hata Hashim Rungwe alitutanabaisha, pia kila mtu anajua kuwa Mbatia ni bwabwa. Siasa za kujipendekeza namna hiyo za huyu Machali zinatia shaka kubwa na kukatisha tamaa vijana wenye ambition ya siasa maana amekuwa kama ni House Boy wa mwenyekiti kwa kukubali kutumwa na kutumiwa. Heri angekanusha Mbatia mwenyewe.
kwani kakosea nini Wenje wabongo bwana yaani ukishasema ukweli tu unatakiwa uombe radhi, tz kwa demokrasia ipi hadi mpinzani ateuliwe na rais kuwa mbunge? haihitaji akili ya mzungu hilo.
Mkosamali hana inshu,kwa mtizamo wangu ni mtu ambaye hawezi kusimamia anachokiamini,ni kibaraka hivi wa Mbatia