Nccr mps voted for marando (tusiwatukane)

wihanzi

Member
Feb 10, 2009
62
3
Ndugu zangu nimeona quote ambayo imeandikwa na mbunge mmoja wa NCCR Mageuzi kuwa wabunge wa NCCR walivote for Marando kama chama pamoja na wabunge wa CHADEMA. Ila CUF kama chama walivote for CCM candidate. Inamaana kuwa marando amepata pia support ya CCM wachache

Nafikiri badala ya kuwatukana wapinzani wote tusubiri waje jamvini watuhabarishe ndipo tujue kilichojiri na ndo tuanze madongo.

Hii info nimeiona kwenye twitter amabko mkosamali (NCCR MP) ameeleza
 
Ndugu zangu nimeona quote ambayo imeandikwa na mbunge mmoja wa NCCR Mageuzi kuwa wabunge wa NCCR walivote for Marando kama chama pamoja na wabunge wa CHADEMA. Ila CUF kama chama walivote for CCM candidate. Inamaana kuwa marando amepata pia support ya CCM wachache

Nafikiri badala ya kuwatukana wapinzani wote tusubiri waje jamvini watuhabarishe ndipo tujue kilichojiri na ndo tuanze madongo.

Hii info nimeiona kwenye twitter amabko mkosamali (NCCR MP) ameeleza

Nani kawatukana tena? kwani matusi yanaruhusiwa hapa JF? kama wametukana mod piga ban!
 
Ndugu zangu nimeona quote ambayo imeandikwa na mbunge mmoja wa NCCR Mageuzi kuwa wabunge wa NCCR walivote for Marando kama chama pamoja na wabunge wa CHADEMA. Ila CUF kama chama walivote for CCM candidate. Inamaana kuwa marando amepata pia support ya CCM wachache

Nafikiri badala ya kuwatukana wapinzani wote tusubiri waje jamvini watuhabarishe ndipo tujue kilichojiri na ndo tuanze madongo.

Hii info nimeiona kwenye twitter amabko mkosamali (NCCR MP) ameeleza



For Kafulila and Kosamali ok, but for the remain mmhhhh!!!!!!!!!
 
nitawaona wamevote for marando wakitoka kwenye hiyo kambi ya ccm-b na kuja kambi halisi ya upinzani, pia wasimsikilize sana mbatia anauchungu sana na chadema kwa kubwagwa na madame mdee jimbo la kawe.
 
nitawaona wamevote for marando wakitoka kwenye hiyo kambi ya ccm-b na kuja kambi halisi ya upinzani, pia wasimsikilize sana mbatia anauchungu sana na chadema kwa kubwagwa na madame mdee jimbo la kawe.
Mbatia naye? kwa nini aliogopa kurudi kwao kule Moshi alikowahi kugombea?
Ataugua ugonjwa wa moyo bureeeeee. Hawezi kugombea na mgombea yeyote wa Chadema akashinda. After all kumpa uwakilishi Mbatia si ni kutupa kura yako?
abaki nje ajenge NCCR asilielie hapa hakuna wa kumuonea huruma
Aache wanae waende mjengo. Yeye atayarishe hoja akiwa nje. Poor Mbatia.
 
Mbatia naye? kwa nini aliogopa kurudi kwao kule Moshi alikowahi kugombea?
Ataugua ugonjwa wa moyo bureeeeee. Hawezi kugombea na mgombea yeyote wa Chadema akashinda. After all kumpa uwakilishi Mbatia si ni kutupa kura yako?
abaki nje ajenge NCCR asilielie hapa hakuna wa kumuonea huruma
Aache wanae waende mjengo. Yeye atayarishe hoja akiwa nje. Poor Mbatia.

Mbatia amefikaje hapa tena? kwani naye ni mbunge? punguzeni chuki japo kidogo. Hata kama ni hasimu wetu kisiasa lakini si muhimu kumtaja kila wakati hata pale asipohusika.
 
me nawakubali wabunge wa nccr,ingawa namjua mmoja na kwa mpambano walio kuwa nao lazima watakua makini,ila kambi waliyopo mmmmmh
 
Ndugu zangu nimeona quote ambayo imeandikwa na mbunge mmoja wa NCCR Mageuzi kuwa wabunge wa NCCR walivote for Marando kama chama pamoja na wabunge wa CHADEMA. Ila CUF kama chama walivote for CCM candidate. Inamaana kuwa marando amepata pia support ya CCM wachache

Nafikiri badala ya kuwatukana wapinzani wote tusubiri waje jamvini watuhabarishe ndipo tujue kilichojiri na ndo tuanze madongo.

Hii info nimeiona kwenye twitter amabko mkosamali (NCCR MP) ameeleza
kama kweli inatia moyo angalau!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom