johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,866
Mwenyekiti wa chama kikuu tarajiwa cha upinzani NCCR Mageuzi James Mbatia amelaani vikali mauaji ya Mmarekani mweusi George Floyd akiwa katika mikono salama ya polisi.
Mbatia amemtaka Rais Trump kulishughulikia kwa haki swala hili.
Chanzo: Clouds TV
Maendeleo hayana vyama!
Mbatia amemtaka Rais Trump kulishughulikia kwa haki swala hili.
Chanzo: Clouds TV
Maendeleo hayana vyama!