Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Wana JF.
Mwenyekiti wa chama hicho James Mbatia katoa taarifa za uhakika zimeonyesha kuwa mgao wa umeme unaoonekana ukiendelea nchini una mkono wa baadhi ya wabunge na watendaji wa Tanesco, ambao wasingependa wananyang'anywe ulaji wao.
Katika hatua nyingine Mbatia alionyesha kushangazwa na watu wanaobeza hatua iliyochukuliwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Eliakim Maswi kuipa zabuni Puma Energy ya kusambaza mafuta ya uzalishaji umeme kwa Tanesco na IPTL na kuziacha kampuni nyingine zilizokuwa na bei kubwa, akisema hawana uzalendo.
Mbatia anasema hawa ndiyo majambazi na wanahujumu uchumi tunaowasema, kwa nini upinge uamuzi ambao unalifanya taifa liokoe Sh3 bilioni kila juma fedha ambayo siku zote ilikuwa inaingia kwenye mikono ya wajanja...Mbatia aliyeongozana na wabunge wengine, Moses Machali, David Kafulila, Felix Mkosamali na Agripina Buyogela.
SOURCE; MWANANCHI JUL 27 2012
Mwenyekiti wa chama hicho James Mbatia katoa taarifa za uhakika zimeonyesha kuwa mgao wa umeme unaoonekana ukiendelea nchini una mkono wa baadhi ya wabunge na watendaji wa Tanesco, ambao wasingependa wananyang'anywe ulaji wao.
Katika hatua nyingine Mbatia alionyesha kushangazwa na watu wanaobeza hatua iliyochukuliwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Eliakim Maswi kuipa zabuni Puma Energy ya kusambaza mafuta ya uzalishaji umeme kwa Tanesco na IPTL na kuziacha kampuni nyingine zilizokuwa na bei kubwa, akisema hawana uzalendo.
Mbatia anasema hawa ndiyo majambazi na wanahujumu uchumi tunaowasema, kwa nini upinge uamuzi ambao unalifanya taifa liokoe Sh3 bilioni kila juma fedha ambayo siku zote ilikuwa inaingia kwenye mikono ya wajanja...Mbatia aliyeongozana na wabunge wengine, Moses Machali, David Kafulila, Felix Mkosamali na Agripina Buyogela.
SOURCE; MWANANCHI JUL 27 2012