hapa ndio nachoka na siasa za bongo!
(source mwananchi)
Hapa ndio nachoka na siasa za bongo!
(Source Mwananchi)
Dawa ya Mbatia huko NCCR- mageuzi iko jikoni, yeye kakosa ubunge Kawe lakini wenzie kule Kigoma wamefanya kweli na huo ndio utakuwa mwanzo wa wakina Kafulila kutaka kumuondoa kwenye uenyekiti kwani wao ndio wanaoipa NCCR ruzuku !! Huku kwenda mahakamani ni geresha tu!!
Kesi nyingine ni ya Jimbo la Kawe ambapo wanaamini kuwa maneno ya Nkya kwamba mgombea wa chama hicho, James Mbatia ananyanyasa wanawake yalisababisha wanawake na wasichana kuwapigia kuwa wanawake wenzao.