NCCR Mageuzi
Member
- Oct 3, 2007
- 23
- 63
Siku chache zikiwa zimebaki kabla ya kuelekea kwenye uchaguzi mkuu 2020, minong'ong'o mingi imekuwa ikijitokeza hasa kuhusiana na idadi ya wagombea wa Ubunge kupitia chama chetu. ukweli ni kuwa kimya kingi kina mshindo, mpaka sasa chama chetu kina zaidi ya wagombea Ubunge 103. licha ya kuwa na changamoto mbalimbali zikiwemo zile za kuenguliwa kwa wabunge wetu bado Idadi ya wagombea ubunge inazidi kuongezeka.