NCCR- Mageuzi, PPT- Maendeleo: Uwanja wa ndege Mbeya usiitwe JK International Airport

GreenCity

JF-Expert Member
May 28, 2012
5,616
4,260
[h=3]NCCR WAUKALIA KOONI UWANJA WA NDEGE MBEYA KUITWA J.KIKWETE[/h]
NCCR WAPINGA UWANJA KUPEWA JINA LA KIKWETE
CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimepinga uamuzi wa Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Mbeya kutaka Uwanja wa Ndege wa Songwe upewe jina la Rais Jakaya Kikwete. NCCR pamoja na PPT Maendeleo kimependekeza kuwa uwanja huo uitwe Mbeya International Airport. Uamuzi wa kutaka uwanja huo uitwe jina la Kikwete ulipitishwa katika kikao cha kamati hiyo kilichoongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini, Dk. Norman Sigalla kwa niaba ya Mkuu Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro. Wakizumngumza na Tanzania Daima Jumapili baada ya kikao hicho, Katibu wa NCCR-Mageuzi Wilaya ya Mbeya Mjini, George Mbojela alisema licha ya yeye kuwapo kwenye kikao hicho, alishtushwa na uamuzi huo kwani tayari kuna miradi kadhaa ya maendeleo iliyopewa jina la Rais Kikwete.

“Ni vyema wananchi wa Mbeya wangeshirikishwa kwenye kupendekeza jina la uwanja huo kwani wanaopaswa kupewa kipaumbele katika kupendekeza jina la uwanja huo ni wakazi wa Mbeya na sio wakuu wa wilaya ambao ni watu wa kupita tu,” alisema katibu huyo wa NCCR-Mageuzi. Mwenyekiti wa PPT Maendeleo, Godfrey Devis aliungana na NCCR-Mageuzi kupinga hatua hiyo kwani inanyima fursa mkoa wao kujitangaza kimataifa. Ujenzi wa uwanja huo wa ndege wa Songwe ulianza kwenye uongozi wa Rais Benjamin Mkapa wakati huo Profesa Mark Mwandosya akiwa Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi.

Source: Ngelesi K. (March 2013). NCCR wapinga uwanja kupewa jina la Kikwete. Retrieved form Tanzania Daima
 
NCCR WAUKALIA KOONI UWANJA WA NDEGE MBEYA KUITWA J.KIKWETE


NCCR WAPINGA UWANJA KUPEWA JINA LA KIKWETE
CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimepinga uamuzi wa Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Mbeya kutaka Uwanja wa Ndege wa Songwe upewe jina la Rais Jakaya Kikwete. NCCR pamoja na PPT Maendeleo kimependekeza kuwa uwanja huo uitwe Mbeya International Airport. Uamuzi wa kutaka uwanja huo uitwe jina la Kikwete ulipitishwa katika kikao cha kamati hiyo kilichoongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini, Dk. Norman Sigalla kwa niaba ya Mkuu Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro. Wakizumngumza na Tanzania Daima Jumapili baada ya kikao hicho, Katibu wa NCCR-Mageuzi Wilaya ya Mbeya Mjini, George Mbojela alisema licha ya yeye kuwapo kwenye kikao hicho, alishtushwa na uamuzi huo kwani tayari kuna miradi kadhaa ya maendeleo iliyopewa jina la Rais Kikwete.

"Ni vyema wananchi wa Mbeya wangeshirikishwa kwenye kupendekeza jina la uwanja huo kwani wanaopaswa kupewa kipaumbele katika kupendekeza jina la uwanja huo ni wakazi wa Mbeya na sio wakuu wa wilaya ambao ni watu wa kupita tu," alisema katibu huyo wa NCCR-Mageuzi. Mwenyekiti wa PPT Maendeleo, Godfrey Devis aliungana na NCCR-Mageuzi kupinga hatua hiyo kwani inanyima fursa mkoa wao kujitangaza kimataifa. Ujenzi wa uwanja huo wa ndege wa Songwe ulianza kwenye uongozi wa Rais Benjamin Mkapa wakati huo Profesa Mark Mwandosya akiwa Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi.

Source: Ngelesi K. (March 2013). NCCR wapinga uwanja kupewa jina la Kikwete. Retrieved form Tanzania Daima

Tuna mambo mengi ya msingi kama Taifa tunatakiwa kuyajadili kwa maendeleo ya Taifa letu na sio upuuzi kama huu.
 
Hakuna uwanja wa Thatcher,Churchill,Blair au Cameroun nchini UK.
Bora wageuita uwanja wa Mwakyusa,Mwalongo,Ulimboka au so if their wish.
 
Tanzania Daima sasa ni gazeti rasmi la udaku...
JK kafanya mengi sana kwa nchi yetu
Ni lazima ziwepo kumbu kumbu zake za kudumu kama hizi.
Mie bvinafsi nilikuwa Chadema , lakini niliporudi home na kukuta lami mpaka mlangoni kwetu kijijini kalenga ilibidi nirudi CCM
SALUTE JK
RAIS WA WATU
 
Tuna mambo mengi ya msingi kama Taifa tunatakiwa kuyajadili kwa maendeleo ya Taifa letu na sio upuuzi kama huu.
What difference will it make? Ndege hazitatua na kuondoka? I agree. There are more important issues for discussion. What is in a name? Kama anaufungua yeye kwa nini usipewe jina lake? NCCR, jadilini mambo ya maana zaidi. Ukiitwa Kikwete au MBeya, bado utabaki Mbeya.


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Dhuluma ni mbaya sana.. Walishindwa kuupa uwanja wa michezo wa Dar jina la B. Mkapa, kwa wivu uliowajaa ikabidi wausilimishe uwanja wa Taifa kwa jina tofauti ili tu kupindisha mambo, sasa tena mradi ambao ulianzishwa wakati wa mzee wa utandawazi unapewaje jina la kikwete?! Hivi watu wa ccm hawana hata ile aibu ya kibinadamu tu?!
 
JK kafanya mengi sana kwa nchi yetu
Ni lazima ziwepo kumbu kumbu zake za kudumu kama hizi.
Mie bvinafsi nilikuwa Chadema , lakini niliporudi home na kukuta lami mpaka mlangoni kwetu kijijini kalenga ilibidi nirudi CCM
SALUTE JK
RAIS WA WATU

walewaleeeee..
 
Mbeya International Airport ingeuza jina la jiji la mbeya sehemu nyingi duniani. Lakini wakubwa wakiamua basi inakuwa. Wanapata kumfurahisha rais? Waache hizo.
 
Wala mbwa bana?!?! Kasheshe kwelikweli.....

tumblr_m7876sckZj1rn4jfeo1_500.jpg


JK kafanya mengi sana kwa nchi yetu
Ni lazima ziwepo kumbu kumbu zake za kudumu kama hizi.
Mie bvinafsi nilikuwa Chadema , lakini niliporudi home na kukuta lami mpaka mlangoni kwetu kijijini kalenga ilibidi nirudi CCM
SALUTE JK
RAIS WA WATU
 
JK kafanya mengi sana kwa nchi yetu
Ni lazima ziwepo kumbu kumbu zake za kudumu kama hizi.
Mie bvinafsi nilikuwa Chadema , lakini niliporudi home na kukuta lami mpaka mlangoni kwetu kijijini kalenga ilibidi nirudi CCM
SALUTE JK
RAIS WA WATU

KWA UPUUZ WAKO ULIDHAN CHADEMA WANAGAWA TSHT Eeh? Utanywea chai hiyo lami. Mwenyewe unadhan umesaidiwaaa
 
Tuna mambo mengi ya msingi kama Taifa tunatakiwa kuyajadili kwa maendeleo ya Taifa letu na sio upuuzi kama huu.
mngekuwa makini kama unavyo jinasibu mbona tungekuwa mbali sana. watu wa ccm wameifikisha Nchi hapa tulipo. uwanja uitwe kikwete kwa kipi cha maana alicho wafanyia watanzania?
 
JK kafanya mengi sana kwa nchi yetu
Ni lazima ziwepo kumbu kumbu zake za kudumu kama hizi.
Mie bvinafsi nilikuwa Chadema , lakini niliporudi home na kukuta lami mpaka mlangoni kwetu kijijini kalenga ilibidi nirudi CCM
SALUTE JK
RAIS WA WATU

kwa hiyo zile sababu ulizotoa awali ulizi stage ili kuchafua ila ukweli uliokurudisha ni lami mpaka mlangoni!
 
JK kafanya mengi sana kwa nchi yetu
Ni lazima ziwepo kumbu kumbu zake za kudumu kama hizi.
Mie bvinafsi nilikuwa Chadema , lakini niliporudi home na kukuta lami mpaka mlangoni kwetu kijijini kalenga ilibidi nirudi CCM
SALUTE JK
RAIS WA WATU

Dah...! kazi ipo ..,
 
JK kafanya mengi sana kwa nchi yetu
Ni lazima ziwepo kumbu kumbu zake za kudumu kama hizi.
Mie bvinafsi nilikuwa Chadema , lakini niliporudi home na kukuta lami mpaka mlangoni kwetu kijijini kalenga ilibidi nirudi CCM
SALUTE JK
RAIS WA WATU


Tubadilishe na jina la TZ na kuwa JK ili kumpa heshima inayostahili.
 
mijitu mingine kwa kujipendekeza aisee........yaani mijanaume mizima kazi kutwa kujipendekeza.........acheni Uitwe Mbeya International Airport.........au hata Uitwe Songwe International Airport
 
mngekuwa makini kama unavyo jinasibu mbona tungekuwa mbali sana. watu wa ccm wameifikisha Nchi hapa tulipo. uwanja uitwe kikwete kwa kipi cha maana alicho wafanyia watanzania?
Tatizo sio CCM, tatizo ni Watanzania au labda niseme Waafrika, manake utafikiri ni kweli tumelaaniwa...tuache kujitia upofu!!! Na hakika hii nchi tutaendelea kuwa maskini maisha yetu yote kwavile bado hatutaki kujitazama kwa mapana yetu!! Sana sana naona CCM ni kama wakala tu umaskini wetu lakini tatizo la msingi ni sisi wenyewe.....!
 
Hakuna uwanja wa Thatcher,Churchill,Blair au Cameroun nchini UK.
Bora wageuita uwanja wa Mwakyusa,Mwalongo,Ulimboka au so if their wish.

Mkapa kajenga uwanja mkubwa wa soka Dar watu wakapendekeza uitwe Mkapa Stadium, inasemekana Kikwete alikataa, Mkapa akaanzisha ujenzi wa Chuo kikuu Dodoma, watu wakapendekeza kiitwe Benjamin Mkapa University, inasemekana Kikwete alikataza, Mkapa huyohuyo amefanya kazi kubwa kabisa kuhakikisha ujenzi wa uwanja wa ndege Songwe unafanyika leo hii watu wanaojipendkeza kwa huyu Kikwete wakitaka uwanja huo uitwe jina lake, jamani tuache tabia za kujipendekeza pendekeza hata ukifanyiwa kitu kikubwa, achilia mbali kupewa kitu kidogo kama ukuu wa wilaya, itaniuma sana uwanja wa Songwe ukiwa jina la Kikwete
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom