Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 9,723
- 10,801
Hiyo inaeleweka kabisa.ZITTO ni MAMLUKI
Hiyo inaeleweka kabisa.ZITTO ni MAMLUKI
uwe unajitahidi kuelewa mambo kabla ya kuchangiaKumbe zitto ndio Mtoa katiba??
Mwenyekiti wa chama cha Nccr Mageuzi James Mbatia kwenye video hii amenukuliwa akisema kwamba kwenye swala zima la kudai katiba mpya na uhuru wa vyama vya siasa wamemshitukia Zito Kabwe kuwa ni dalali wa serikali anayelenga kukwamisha jitihada za kupata katiba mpya kabla ya mwaka 2025.
Kitendo cha Zito kuwemo kwenye kamati iliyopendekeza katiba ipatikane baada ya uchaguzi mkuu wa 2025 kimewasikitisha sana.
View attachment 2175517
Lipumba alisanda mapema sn
Bwana nyepesi ni ndugu yake hangaya katika Imani
Zam za wavaa kobaz hiz
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
huyu ni mamluki ndo maana alifukuzwa chadema.Mwenyekiti wa chama cha Nccr Mageuzi James Mbatia kwenye video hii amenukuliwa akisema kwamba kwenye swala zima la kudai katiba mpya na uhuru wa vyama vya siasa wamemshitukia Zito Kabwe kuwa ni dalali wa serikali anayelenga kukwamisha jitihada za kupata katiba mpya kabla ya mwaka 2025.
Kitendo cha Zito kuwemo kwenye kamati iliyopendekeza katiba ipatikane baada ya uchaguzi mkuu wa 2025 kimewasikitisha sana.
View attachment 2175517
Mapinzani ya Tanzania ni matakataka tu!Zitto ntu ya dili..... ila wanasiasa wote ni kopo na mfuniko. Huyo Mbatia mwenyewe enzi za Mwendazake alikua toy ya jiwe katika kufanikisha mipango yake kisiasa kupitia upinzani
Labda kwa watanzania wendawazimu, Zito ameongezewa umaarufu.Inaonekana Zitto ni turufu Muhimu sana kwenye Mchakato wa Katiba ndio maana anatajwa tajwa sana kukwamisha Mchakato wa Katiba mpya.
Kwanini NCCR na Chadema wasiendelee tu na michakato yao kuishinikiza Serikali wakaachana na Zitto, mbona Zitto anaendelea na michakato yake ya 'kukwamisha katiba mpya' bila ya kumtaja Mbatia kuwa anataka kukwamisha harakati zake za kukwamisha Katiba mpya?
Nahisi kuna kamchezo ndani ya NCCR na Chadema kwa kujua au bila ya kujua kumuongezea thamani Zitto kwny macho ya Watawala.
wasichokijua CHADEMA na NCCR ni kwamba waende wasiende CCM na Dola watafanya walitakalo. Miaka 6 iliyopita Magufuli hakutoa hata dakika moja kwa chama kukutana, leo inatokea fursa mnahamisha goli sababu eti ZZK yupo. Vyama vingi hapa nchini ni uhuni.Hapo chacha, vyuma vimeumana
upo sahihi kabisa hawajui wanataka nini na kwa wakati ganiMapinzani ya Tanzania ni matakataka tu!
Labda kwa watanzania wendawazimu, Zito ameongezewa umaarufu.
Zito ni kibaraka hatari. Anatumika na CCM kwenda kinyume na matakwa ya wapinzani na watanzania wengi wenye uelewa ili makundi haya yakisusia uchaguzi, yeye Zito atumike na CCM kama chama cha upinzani, agawiwe wabunge, na kisha ahesabike kama kambi rasmi ya upinzani.
Lakini kamwe hatafanikiwa.