NCCR Mageuzi haina ushawishi kwa kizazi kipya, bado naamini CCM na CHADEMA vitaendelea kuwa vyama pendwa hapa nchini.

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,839
141,756
Niwe tu mkweli kwamba naifahamu NCCR mageuzi tokea ikiwa katika harakati za kupigania mfumo wa vyama vingi.
Kiukweli Nccr kimsingi siyo chama cha siasa bali ni taasisi ya harakati zilizojikita kwenye siasa ndio maana " Wanasiasa" huwa hawajiungi nacho na ikitokea mwanasiasa kaingia huko basi muda si mrefu huondoka.

Nccr haina wanachama wanasiasa ndio maana sasa wanatangaza nafasi za kazi za ubunge na udiwani kwa wanasiasa. Sitashangaa nikisikia Pascal Mayalla amejiunga nao ili agombee ubunge.

Kamwe Nccr mageuzi hawawezi kuvipiku vyama vya siasa vyenye " Wanasiasa " kama ACT wazalendo, Chadema na hata Cuf hivyo wale wote wanaoenda huko kwa minajiri ya kujiimarisha kisiasa wanapotea njia isipokuwa wale " wanaorudi " nyumbani akina Selasini na Kubenea.

Vijana wa kizazi cha sasa wanahitaji siasa zilizochangamka na zenye hekaheka ambazo kwa sasa utazipata CCM na CHADEMA.

Maendeleo hayana vyama!
 
Yohana subiri uje uone kwa macho yako. Ungekuwa unakaa kwenye vijiiwe vya kahawa ungepata ukweli toka ngazi chini ambao ndio wapiga kura. Chadema wameonekana ni matapeli na wahuni tu hasa pale walipobadili gear angani.Nccr ikijipanga vizuri na hasa kwa sababu hawana ubaguzi na slogan yao ya udugu, wanarudi kwenye chati na kuchukua KUB.
Act wazalendo wanaonekana kama Islamic brotherhood hawa hawatoboi kabisa na wapo kimaslahi ya kuvizia ruzuku tu.
We tulia uje uone kwa macho yako.
 
Yohana subiri uje uone kwa macho yako. Ungekuwa unakaa kwenye vijiiwe vya kahawa ungepata ukweli toka ngazi chini ambao ndio wapiga kura. Chadema wameonekana ni matapeli na wahuni tu hasa pale walipobadili gear angani.Nccr ikijipanga vizuri na hasa kwa sababu hawana ubaguzi na slogan yao ya udugu, wanarudi kwenye chati na kuchukua KUB.
Act wazalendo wanaonekana kama Islamic brotherhood hawa hawatoboi kabisa na wapo kimaslahi ya kuvizia ruzuku tu.
We tulia uje uone kwa macho yako.
Vjiwe vya kahawa vya kwenu Labda,lakini vya kwetu wanashangilia Sana mamluki kujiengua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magufuli nia yake kubwa ni kuua upinzani ila kuwa anaona aibu kwenye jumuiya za kimataifa.

Kaamua kuingia makubaliano na Mbatia kwa ajili ya kutengeneza upinzani uchwara boko boko ili iwe danganya toto kwenye jumuiya za kimataifa.

Hao wote wanaohamia NCCR ni wanatarajiwa kuwa wabunge kwa kupitishwa kibabe na Dola.

Kama kuna mwanasiasa halioni hili atakuwa mjinga.
 
Endelea na matumaini hayo. Wengi tunamsubili Yesu Kristu arudi. Atukute tukiwa hai au tumekufa. Endelea CHADEMA iwepo hata kama umekufa, itakusaidia nini.
 
Ameahidiwa majimbo 20
Niwe tu mkweli kwamba naifahamu NCCR mageuzi tokea ikiwa katika harakati za kupigania mfumo wa vyama vingi.
Kiukweli Nccr kimsingi siyo chama cha siasa bali ni taasisi ya harakati zilizojikita kwenye siasa ndio maana " Wanasiasa" huwa hawajiungi nacho na ikitokea mwanasiasa kaingia huko basi muda si mrefu huondoka.

Nccr haina wanachama wanasiasa ndio maana sasa wanatangaza nafasi za kazi za ubunge na udiwani kwa wanasiasa. Sitashangaa nikisikia Pascal Mayalla amejiunga nao ili agombee ubunge.

Kamwe Nccr mageuzi hawawezi kuvipiku vyama vya siasa vyenye " Wanasiasa " kama ACT wazalendo, Chadema na hata Cuf hivyo wale wote wanaoenda huko kwa minajiri ya kujiimarisha kisiasa wanapotea njia isipokuwa wale " wanaorudi " nyumbani akina Selasini na Kubenea.

Vijana wa kizazi cha sasa wanahitaji siasa zilizochangamka na zenye hekaheka ambazo kwa sasa utazipata CCM na Chadema.

Maendeleo hayana vyama!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yohana subiri uje uone kwa macho yako. Ungekuwa unakaa kwenye vijiiwe vya kahawa ungepata ukweli toka ngazi chini ambao ndio wapiga kura. Chadema wameonekana ni matapeli na wahuni tu hasa pale walipobadili gear angani.Nccr ikijipanga vizuri na hasa kwa sababu hawana ubaguzi na slogan yao ya udugu, wanarudi kwenye chati na kuchukua KUB.
Act wazalendo wanaonekana kama Islamic brotherhood hawa hawatoboi kabisa na wapo kimaslahi ya kuvizia ruzuku tu.
We tulia uje uone kwa macho yako.
Bora TLP kuna siasa siyo Nccr comrade!
 
Back
Top Bottom