assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,904
- 4,050
Kama kuna chama kimejipanga kimkakati ni nccr mageuzi kinaendesha siasa za kistaarabu na kiungwana na si siasa za matusi kebehi na kujiona. Kina sera zinazoeleweka na si kama ccm au chadema ambao hata kwenye bajeti iliopita imeprove kuwa chadema hawana sera mbadala bali kazi yao kulalamika hivyo hawana sera mbadala kwa taifa ivo kuwa sawa na ccm. Kwa msingi huo nccr mageuzi tunaona hakuna wa kuzuia kuichukua nchi hii 2015.