Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nami nasubiri hili mana inaekekea mwezi tangu wafunge kupokea maombi huenda wameita watu kimya mana walisema watakaokizi vigezo watajulishwaHabari wanajamvi naulizia zile nafasi 300 zilizotangazwa na NBS wameshaita watu kwaajili ya usahili? Maana deadline ilikuwa 14/3/2021, au ndio hadi maombolezo yaishe
Duuuh! Kwani hata majina ya walio itwa kwenye usaili washatoa au wanashituana kimya kimyaHabari wanajamvi naulizia zile nafasi 300 zilizotangazwa na NBS wameshaita watu kwaajili ya usahili? Maana deadline ilikuwa 14/3/2021, au ndio hadi maombolezo yaishe
Umejaza wilaya gani?Habari wanajamvi naulizia zile nafasi 300 zilizotangazwa na NBS wameshaita watu kwaajili ya usahili? Maana deadline ilikuwa 14/3/2021, au ndio hadi maombolezo yaishe
Kwamba zishatolewa kiwilaya au kuna connection gan na wilaya kiongozii??Umejaza wilaya gani?
EWURA😂😂😂😂😂😂😂Mambo hayahitaji haraka, ukiona kimya na we una mute tu. Nkupe mfano kuna tangazo la EWURA lilitoka mwezi wa 12 deadline ilikuwa tarehe 8 mwezi wa kwanza. Mpaka leo kimya.