Ndio hivyo majina ya sensa yametoka lakini nafasi zilizorudi ni Karani wa sensa na Afisa Tehama tu,
Na baadhi ya maeneo ndio Kuna wasimamizi wa maudhui.
Kumbe hizi nafasi za usimamizi wa maudhui (content supervisor) wamewekewa walimu wakuu!
Kwanini Toka awali hiki kipengele msikitoe?
Kumbe tayari mna watu wenu?
Hii sio haki na kama vipi wale waliomba usimamizi wa maudhui basi wapeni ukarani kuliko kuwachinjilia mbali halafu sensa ijayo muwe wazi kabisa kuweka nafasi zenu za kazi, zile ambazo mna watu wenu basi msiweke option ya kuomba kwenye mfumo.
Inasikitisha sana.
Na baadhi ya maeneo ndio Kuna wasimamizi wa maudhui.
Kumbe hizi nafasi za usimamizi wa maudhui (content supervisor) wamewekewa walimu wakuu!
Kwanini Toka awali hiki kipengele msikitoe?
Kumbe tayari mna watu wenu?
Hii sio haki na kama vipi wale waliomba usimamizi wa maudhui basi wapeni ukarani kuliko kuwachinjilia mbali halafu sensa ijayo muwe wazi kabisa kuweka nafasi zenu za kazi, zile ambazo mna watu wenu basi msiweke option ya kuomba kwenye mfumo.
Inasikitisha sana.