REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,447
- 9,359
Hauwezi tangaza nafasi ujatoa vigezo watu wakaomba siku ya majibu ndio utoe vigezo huo ni uhuni waiteni hao watu wakafanye usaili nafasi za UKARANI kwa sababu usaili upo ngazi ya kata na form zao zilipelekwa katani na nyie majina mnayo waiteni hao watu kwani kama ni mkataba nyie ndio mmeuvunja maana hakuwambia kuwa hizo nafasi ni za wakuu wa shule tendeni haki kwa hili