Mzalendo_Mkweli
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 1,988
- 1,175
Kwenu wana JF,
Kwa siku mbili nimewasikia wafanyakazi wenzangu wakilalamika kwamba wameenda kuchukua pesa katka ATM za NBC na kukuta pesa zao zote zimechukuliwa na watu wasiofahamika.Wameripo Benk na inaonekana wahusika wanatoa ushirikiano LAKINI wanaongea na walalamikaji faragha ili jambo hili lisiwafikie wateja wengine.Kwa wale mulio na taarifa za kina naomba mtuambie ni TECHNOLOGIA gani inatumika katika huu wizi na tufanye nini tusiibiwe???
Nawasilisha.
Kwa siku mbili nimewasikia wafanyakazi wenzangu wakilalamika kwamba wameenda kuchukua pesa katka ATM za NBC na kukuta pesa zao zote zimechukuliwa na watu wasiofahamika.Wameripo Benk na inaonekana wahusika wanatoa ushirikiano LAKINI wanaongea na walalamikaji faragha ili jambo hili lisiwafikie wateja wengine.Kwa wale mulio na taarifa za kina naomba mtuambie ni TECHNOLOGIA gani inatumika katika huu wizi na tufanye nini tusiibiwe???
Nawasilisha.