dorin
JF-Expert Member
- Jan 29, 2010
- 267
- 285
Wakuu!
Nilibahatika kufungua Account Na NBC Hapa Dar. Tangu 2002. Mpaka sasa naitumia hii account.
Hivi majuzi nimeingia Mkoani nilikua na shida ya pesa ambazo singeweza kuzitoa kwenye ATM ikabidi niingie Ndani Kwa teller!! Huku nikiwa na statement niliyo itoa kwenye ATM kama Kidhibitisho kuwa mimi ndio mwenye Account.
Niliambiwa wanatakiwa kutoa kitambulisho changu cha Benki Copy wakitume Dar Es Salaam Kwenye Branch Yangu Ndio Niweze kuruhusiwa kuchukua Pesa(Tshs 1,200,000) Ambazo Mtu anaweza kuzitoa kwenye ATM kwa siku Mbili.
Wadau nilikaa pale Benki Kwa zaidi ya masaa matano nasubiri Repply ya Fax Kutoka Dar. Ikabidi nianze kufoka Hapo Ndipo wakaamua kutumia Njia Nyingine ya kuniuliza maswali yanayo husiana na ile account yangu Nikajibu vizuri ndipo wakanipa hela.
Kwa hasira niliyopata, Nikirudi Dar I will Take all my Money From That Account and I will never ever do Business with You Guys!!
Hayo maswali waliyoniuliza baada ya kukaa masaa matano Mbona wasingeniuliza mwanzoni wakanipa changu nikatimua!!
Am Really fed up with you otherwide mjirekebishe.
Nilibahatika kufungua Account Na NBC Hapa Dar. Tangu 2002. Mpaka sasa naitumia hii account.
Hivi majuzi nimeingia Mkoani nilikua na shida ya pesa ambazo singeweza kuzitoa kwenye ATM ikabidi niingie Ndani Kwa teller!! Huku nikiwa na statement niliyo itoa kwenye ATM kama Kidhibitisho kuwa mimi ndio mwenye Account.
Niliambiwa wanatakiwa kutoa kitambulisho changu cha Benki Copy wakitume Dar Es Salaam Kwenye Branch Yangu Ndio Niweze kuruhusiwa kuchukua Pesa(Tshs 1,200,000) Ambazo Mtu anaweza kuzitoa kwenye ATM kwa siku Mbili.
Wadau nilikaa pale Benki Kwa zaidi ya masaa matano nasubiri Repply ya Fax Kutoka Dar. Ikabidi nianze kufoka Hapo Ndipo wakaamua kutumia Njia Nyingine ya kuniuliza maswali yanayo husiana na ile account yangu Nikajibu vizuri ndipo wakanipa hela.
Kwa hasira niliyopata, Nikirudi Dar I will Take all my Money From That Account and I will never ever do Business with You Guys!!
Hayo maswali waliyoniuliza baada ya kukaa masaa matano Mbona wasingeniuliza mwanzoni wakanipa changu nikatimua!!
Am Really fed up with you otherwide mjirekebishe.