Jick
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 1,199
- 1,782
Hakuna cha maanaShida yako unadhani traditonal clubs ni Tanzania zinazobaki na colours zake na unakariri ivyo.........
Hakuna cha maanaShida yako unadhani traditonal clubs ni Tanzania zinazobaki na colours zake na unakariri ivyo.........
HahhahaGharama ya mkataba ni sawa na bei konde boy kwenda al ahly
Wewe ndiyo unaona hivyo na baki hivyo hivyoHakuna cha maana
International ya wapi?Itasonga kuelekea wapi??
Mnapenda kujipa umuhimu usio na sababu.
Hayo mambo tunayafanya hapa kwetu ki local local tu, ila international hayapo.
Yaani kwa mfano SIMBA WANGEGOMEA KUWEKA LOGO CAF KISA INA GREEN NA YELLOW.
Kikao kimeshafanyika jana na NBC wamesanda tayari ....Ngoja tusubiri maana mambo yote yanaisha leo
Haujui kwamba alishakubali masharti ya Yanga ndio maana akabadili zamani za mfalme herode ...Hivi kwa mfano GSM akakengeuka akasema anataka logo hii kwenye jezi itakuaje ?View attachment 1965166
Yanga walienda voda walivyokubaliana wakarudi bodi ya ligi acha kupotosha dogoNadhani Hili swala lipo kisheria boss ndo maana hata Vodacom waliporudi second time karia aliropoka kua hataki kuona team ikibadili rangi ya logo ila bado alishindwa kuna sheria ya FIFA kulinda Utamaduni wa vilabu vya mpira wa miguu.
NBC ndo atalazimika kubadili rangi ya logo kwa klabu chache.
Hujielewi wewe au huelewi dhumuni la kudhaminisijasema hana vigezo kwa sababu hata hivo sjui vigezo vyao my point nilitegemea bank zenye ushawishi NBC haina hata matawi meng compare na others Banks
kweli kwenye kuitamka na kuiandka "ndogo sanaaa"... hahahaIla hawa NBC wametoa hela ndgo mno 2.5B ....ndgo sana aseee
Mbona swali jepesi mkuu? Barclays walidhamini epl na liver alivaa standard charteredSwali ambalo unatakiwa kujiuliza ni mwakani team inayomilikiwa na bank ya DTB inapanda ligu kuu,
Je ITATAITANGAZA NBC kwenye jezi zao???
Tatizo hakuna aliyetoa zaidi ya hapo, je tuchukue hiki kidogo au tuache kabisa?Ila hawa NBC wametoa hela ndgo mno 2.5B ....ndgo sana aseee
sio jepesi mkuu,Mbona swali jepesi mkuu? Barclays walidhamini epl na liver alivaa standard chartered
Acha uzwazwa wewe, hujawahi ona azam team ikidhaminiwa na azam fruit? Hapo DTB team inadhaminiwa na bank mchezo kwishasio jepesi mkuu,
Liverpool wanadhaminiwa na standard Chartared. tofauti na DTB ndio mmiliki wa team, na ameanzisha team makusudi kabisa ili atangaze bank yake ya DTB,
sasa hapo itabidi aanze kumtangaza NBC ambaye ni mshindani wake kibiashara.
Ni sawa na team ya cocacola ianze kutangaza pepsi
hapo kuna wepesi??
Shida ni upuuzi wa Bongo, mikataba ya kina Karl Peters, Vodacom walipokuja African Lyon walikuwa na mdhamini wao kama club Zantel, ilibidi waachane naye eti "Conflicts of interest "......Mbona swali jepesi mkuu? Barclays walidhamini epl na liver alivaa standard chartered
kwanza mtu akianza kutukana najua kabisa ameishiwa hoja ndo maana anakimbilia matusi.Acha uzwazwa wewe, hujawahi ona azam team ikidhaminiwa na azam fruit? Hapo DTB team inadhaminiwa na bank mchezo kwisha
NMB wanafeli sana yaaniNBC mdhamin mkuu sjajua vigezo vyao m nilitegemea NMB, standard chartered