NBAA kwa hili la kuchelewesha matokeo, mmetudharau sana wahasibu

Kayemba

JF-Expert Member
Jul 5, 2013
221
175
Naomba huu ujumbe uwafikie menejimenti ya Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi , NBAA.

Yahusu ucheleweshwaji wa matokeo ya mtihani wa Novemba 2017.

Kwanza kabisa hajawahi tokea kwa bodi kichelewesha matokeo ya mitihani kwa kipindi kirefu kama ambavyo mmefanya kipindi hiki. Kumekuwa na sababu lukuki mara hii mara ile zote ambazo sio rasmi. Ikumbukwe kuwa hakuna hata moja ya hizo sababu imetoewa na kurugenzi wala memenjimenti ya bodi, pia ikumbukwe mpaka leo ni miezi zaidi ya mitatu watahiniwa tuliotumia muda mwingi kwenye maandalizi, tumetumia pesa nyingi kulipia, tumeacha mambo mengi yamesimama ili tufanye hii mitihani, sasa bodi haijatoa matokeo ili watu tujue mustakabali wetu na bodi ipo kimya kana kwamba sisi sio kitu, kana kwamba mnaweza kutufanyia chohchote mtakacho.

Kumbukeni sisi sio watoto wa shule ya msingi. Ni watu wazima wenye taaluma zao. Sisi ni moja ya wanaochangia kwenye pato la taifa ila mnatuchukulia poa tu, kana kwamba hatuna lolote la maana. Tambueni ukimya wenu ni dharau kubwa sana kwetu.

NBAA MMETUDHARAU SANA WAHASIBU.
 
ACCA ndo mbadala wao hawa jamaa, ukirudi kwao unafanya masomo ya Tax mchezo umeisha.
Tuliopataga miaka ya kabla ya 2010 at least tuliwafaidi, maana tulikuwa wachache then hata masomo hayakuwa mengi. Siku hizi wamejaza courses nyingi, kuanzia intermediate mpaka final stage ni sawa na semester nne karibu. Halafu bado wanazingua candidates wao.
 
Naomba huu ujumbe uwafikie menejimenti ya Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi , NBAA.

Yahusu ucheleweshwaji wa matokeo ya mtihani wa Novemba 2017.

Kwanza kabisa hajawahi tokea kwa bodi kichelewesha matokeo ya mitihani kwa kipindi kirefu kama ambavyo mmefanya kipindi hiki. Kumekuwa na sababu lukuki mara hii mara ile zote ambazo sio rasmi. Ikumbukwe kuwa hakuna hata moja ya hizo sababu imetoewa na kurugenzi wala memenjimenti ya bodi, pia ikumbukwe mpaka leo ni miezi zaidi ya mitatu watahiniwa tuliotumia muda mwingi kwenye maandalizi, tumetumia pesa nyingi kulipia, tumeacha mambo mengi yamesimama ili tufanye hii mitihani, sasa bodi haijatoa matokeo ili watu tujue mustakabali wetu na bodi ipo kimya kana kwamba sisi sio kitu, kana kwamba mnaweza kutufanyia chohchote mtakacho.

Kumbukeni sisi sio watoto wa shule ya msingi. Ni watu wazima wenye taaluma zao. Sisi ni moja ya wanaochangia kwenye pato la taifa ila mnatuchukulia poa tu, kana kwamba hatuna lolote la maana. Tambueni ukimya wenu ni dharau kubwa sana kwetu.

NBAA MMETUDHARAU SANA WAHASIBU.
mkuu wenyekiti kateuliwa leo muda si mrefu watatoa
 
Sasa hata yakitoka saiz mtu unajiandaa muda gani ili ufanye mtihani may?mambo ya ajabu kabisa au may hatufanyi mtihani?
 
Naomba huu ujumbe uwafikie menejimenti ya Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi , NBAA.

Yahusu ucheleweshwaji wa matokeo ya mtihani wa Novemba 2017.

Kwanza kabisa hajawahi tokea kwa bodi kichelewesha matokeo ya mitihani kwa kipindi kirefu kama ambavyo mmefanya kipindi hiki. Kumekuwa na sababu lukuki mara hii mara ile zote ambazo sio rasmi. Ikumbukwe kuwa hakuna hata moja ya hizo sababu imetoewa na kurugenzi wala memenjimenti ya bodi, pia ikumbukwe mpaka leo ni miezi zaidi ya mitatu watahiniwa tuliotumia muda mwingi kwenye maandalizi, tumetumia pesa nyingi kulipia, tumeacha mambo mengi yamesimama ili tufanye hii mitihani, sasa bodi haijatoa matokeo ili watu tujue mustakabali wetu na bodi ipo kimya kana kwamba sisi sio kitu, kana kwamba mnaweza kutufanyia chohchote mtakacho.

Kumbukeni sisi sio watoto wa shule ya msingi. Ni watu wazima wenye taaluma zao. Sisi ni moja ya wanaochangia kwenye pato la taifa ila mnatuchukulia poa tu, kana kwamba hatuna lolote la maana. Tambueni ukimya wenu ni dharau kubwa sana kwetu.

NBAA MMETUDHARAU SANA WAHASIBU.
wametutesa sana hawa wapuuzi, na kwa hili linaloendelea hata mitihani ya may hatutoweza fanya, ndio basi tena. Pius maneno ajitathmini. kakaa tu pale anakula hela za bure
 
Sasa hata yakitoka saiz mtu unajiandaa muda gani ili ufanye mtihani may?mambo ya ajabu kabisa au may hatufanyi mtihani?
hatufanyi mkuu, matokeo yetu yatatoka pamoja na hawa wa may, hivyo pepa kufanya ni hadi mwezi wa kumi na moja, ni hatari sana. wapuuzi sana hawa jamaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom