Mchizi
JF-Expert Member
- Apr 23, 2009
- 2,616
- 6,051
Bora game iliahilishwa wangeambukizana sanaNimeona hiyo, ESPN wamereport, hata post ya Donovan iko wazi amemind.
Bora game iliahilishwa wangeambukizana sanaNimeona hiyo, ESPN wamereport, hata post ya Donovan iko wazi amemind.
Asimamishe tu maana unajua unaweza zuia mashabiki kumbe unaambukiza wachezaji kwa wachezaji kama Rudy alivyowafanyia wenzie bado kuchezesha league kipindi hiki ni hatari mno.Nasikia wanaenda kaa kikao... Arsenal tayari wana 2 cases,Arteta na Auba... Chelsea pia wana odoi na rudiger... Na pia nasikia kuna cases nyingine kwa timu zingine.... Hakuna namna ligi itabidi isimame... Ngoja tuone watakuja na majibu gani baada ya hicho kikao.
Bora game iliahilishwa wangeambukizana sana
Ligi imeahirishwa yote ila Adam silver anasema wanacheki hali huenda ikarejea baada ya siku 30Kwa jinsi hali inavyozidi kuwa mbaya, naamini wataahirisha ligi yote
Ligi imeahirishwa yote ila Adam silver anasema wanacheki hali huenda ikarejea baada ya siku 30
Halafu samahani mkuu hiyo case ya auba na rudiger si kweli... Ni arteta na odoi tu.Asimamishe tu maana unajua unaweza zuia mashabiki kumbe unaambukiza wachezaji kwa wachezaji kama Rudy alivyowafanyia wenzie bado kuchezesha league kipindi hiki ni hatari mno.
Donovan Mitchell has also tested positive of coronavirus.
Ni teammate wa Rudy Gobert katika timu ya Utah Jazz.
Inasemekana Rudy Gobert alikuwa anajaribu kusababisha na wenzake waupate huo ugonjwa.
View attachment 1386237
Naona kaomba msamaha.huyu mchezaji kunavideo nimeona alikuwa anafanya mzaha wa kuigiza corona ambapo ameonekana akishika kila mike katika chumba cha mahojiano
Christian woods mchezaji wa Detroit pistons nae ame test positive Corona virus. Anakuwa mchezaji wa tatu wa nba. Serge ibaka amewekwa quarantine ya wiki mbili
Wakuu leo nimeona fox news wakisema kwamba NBA inarudi kuanzia July mwaka huu BAK Don Clericuzio Mchizi Mag3 Nyani Ngabu Joseph 2018
Wangefanya irudi october tu alisikika shabiki wa GS akisema hivyo.Inaelekea Wachezaji wengi hawataki kucheza tena ili kumalizia msimu. Wanadai itapunguza nguvu kwenye mapambano ya #BlacklivesMatters hivyo wengi wanapinga kurudi na pia hawapendi huo mfumo wa kuchezea Orlando siku nzima ni mechi kati ya timu mbali mbali na kisha wengiwanataka kama watakwenda waende na wake zao watoto na maGFs na Orlando sidhani kama kuna facilities za kuaccomodate wageni wengi kiasi hicho. Msimu uko kwenye hati hati. Tusubiri tuone lakini kama watarudi basi tarehe rasmi ya kuanza games ni July 31st.
Wangefanya irudi october tu alisikika shabiki wa GS akisema hivyo.
Nitafurahi huu msimu ukiisha bira kupata mshindi wowote wala MVP maana wengine team zetu ni mbovu zitakaa sawa msimu ujao wadau wa clippers na lakes watanisamehe haya ndio maombi yangu 😆Mwelekeo naona kwa sasa ni huo na hasa ukitilia maanani kwamba idadi ya walioambukizwa na COVID-19 imeanza kupanda tena katika baadhi ya States za USA wachezaji wanaweza kutumia hiyo kama sababu nyingine ya kutmalizia msimu huu.
Nitafurahi huu msimu ukiisha bira kupata mshindi wowote wala MVP maana wengine team zetu ni mbovu zitakaa sawa msimu ujao wadau wa clippers na lakes watanisamehe haya ndio maombi yangu 😆