NBA: Western Conference Finals~Game 2

BAK

JF-Expert Member
Feb 11, 2007
124,792
287,994
Leo sidhani kama Lakers watafanya makosa kama ya juzi ya kuwa nyuma kwa 20 points katika quarter ya tatu.
 
lakers ni nomaaaa mtu wangu, il sijui itakuaje watakapoingia fainali na mabingwa wa east maana kule timu zote zimekamilika haswaaaa
 
Thanks KOBE maana game 4 ilikuwa tight mno
but nashukuru LA waliweza kumfunika MANU GINOBILI kwani namuogopa kuliko PARKER& DUNCAN
 
Thanks KOBE maana game 4 ilikuwa tight mno
but nashukuru LA waliweza kumfunika MANU GINOBILI kwani namuogopa kuliko PARKER& DUNCAN

I was so happy yesterday, hopefully the Lakers will be able to finish the series tomorrow night.
 
haya later on tujisubirie east game yao maana kule ndo series naona iko tie kinyama game iliyopita boston walizidiwa kama sio waooo
 
Thanks KOBE maana game 4 ilikuwa tight mno
but nashukuru LA waliweza kumfunika MANU GINOBILI kwani namuogopa kuliko PARKER& DUNCAN

Lakers wameanza vibaya game 5, Quarter ya kwanza wako chini kwa point 13. Quarter ya pili lazima wapunguze hiyo gap kubwa ama vinginevyo itabidi warudi tena San Antonio kwa game 6.
 
Thanks MVP KOBE kwa kumaliza series kwenye game 5
Now we are waiting for final
 
Ebanae!!! KOBE is a beast!!! ila duh kweli Spurs wameshaanza kujichokea lol!!! congratskwa wapenzi wa Lakers
 
Ebanae!!! KOBE is a beast!!! ila duh kweli Spurs wameshaanza kujichokea lol!!! congratskwa wapenzi wa Lakers

Hands down, Kobe is something else.....
I used to dislike him, but I can't hate on him no more...
He must have used his haters as his motivators....hahahahaaa
 
yan i cant wait kushuhudia them finalz za fainaliz....maana celtics na lakers wamekutana kwenye regular season if i am not mistaken ni only once..sasa patakua patashika nguo kuchanika...dah kusema ukweli mie sijui ipi ya kushangilia kati ya kina kobe na kina boston maana zote nazifeel
 
Naisubiriaa Piaa Mimi Maana Ni Balaa Sana Kwa Kweli...naona Wakongwe Wengine Wamechoka Kabisa Kina Shaq..kwisha Kabisaa
 
...duh, kweli Boston ni city of champions!! yaani mwaka huu major teams zote kuondoa Bruins(ice hockey) zimetinga finalz....
...Celtics ni home team lakini siwaamini, na jana ilikuwa zali tu kushinda! anywayz, go Celtics na kama zali bado ni lao basi watakuwa worlds champions...i doubt it though!!.

Kweli 'Tics hawaaminiki especially mechi za ugenini si uliona walivyotendwa na ATL lol....ila all in all hongera mkuu!!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom