NBA Playoffs

Status
Not open for further replies.
And it's a very big problem.Just woken up a sleeping GIANT....gO La!
 
And it's a very big problem.Just woken up a sleeping GIANT....gO La!

Mbona naona watu wapo mute kabisa kutoa credit kwa mabingwa watetezi kwa ile late run ya jana?......Orlando mimacho iliwatoka! Series inaisha next game!! Go Celtics!
 
And it's a very big problem.Just woken up a sleeping GIANT....gO La!

Game ya juzi QM alipiga kelel sana na Bet yake,anahitaji tuweke kwenye account yake,its too early you can't go wrong with da Lakermania.
 
Acha kujipendekeza pendekeza kwa kutoa vi thanks. Itoe ukampe yule mjinga mjinga mwenzako asiye na umaalum
 
Game ya juzi QM alipiga kelel sana na Bet yake,anahitaji tuweke kwenye account yake,its too early you can't go wrong with da Lakermania.

Sasha, let's face it....Lakers haiko solid kwenye playoffs kama unavyofikiri. Pengine labda ni kwa sababu homa ya post season imewakumba vijiboyi vingi ambavyo vimejazana kwenye kambi ya Lakers. Don't get me wrong, hii timu ina talents...lakini wengi ni vijiboyi ambavyo havina solid experience na kasheshe za post season.

Kwa hiyo, hata kama mkipita kwa Rockets (don't get twisted, bado kuna gemu za kucheza), mtakutana na even mlima mkubwa wa kupanda....bad boys wa Nuggets.

Remember, Cavaliers wako way more solid than sorry Lakers...
 
- Vipi leo wakuu, Dallas Vs Nuggets? Mimi hapa ninawaminia Nuggets kusonga mbele, infact hawa wasipoangaliwa vizuri wanaweza kushinda ubingwa, au?

FMEs!
 
Photo of the day
9573406_7_5.jpg
Carmelo Anthony scored 30 points Wednesday as the Nuggets knocked the Mavs out of the playoffs.
 
..Kobe Bryant is more skilled than any player currently in the NBA, lakini ana damu ya kunguni. wapenzi wa basketball, pamoja na waandishi wa habari, hutokea kumchukia tu bila sababu yoyote ya msingi.
Kobe ni best mkuu hakuna cha lebron wala nini.....muulize Ron Artest alivyofanywa mpaka akataka kupigana.......
4.jpg
 
KOBE ni mkali but kwa sasa nafikiri Lebron James anamfunika
 
come on celtics........tunawasubiri cleveland katika eastern fainal,maana leo tunamuuwa howard na magic.then bring on LA.
 
come on celtics........tunawasubiri cleveland katika eastern fainal,maana leo tunamuuwa howard na magic.then bring on LA.

Ha ha ha you have to wait for game 7 and anything can happen either against or in favour of your team, You'll be at home, no need to worry ha ha ha but you never know :) Hawa Lakers nao wamenza kwa kuchemsha vibaya sana labda na wao itabidi wasubiri game 7 ndani ya LA.
 
Hii ni best of 7 jamani. Lakers hawajafika bado inabidi wawafunge The Rocketsssssss my team. Dont count us out.
 
As I said before, this series is too far from over. The Lakers are not as good as they have been potrayed, and that is the reason they are on the brink of elimination . The Rockets are hungry and it seems like they are more enthused compared to the Lakers. Go Rockets
 
As I said before, this series is too far from over. The Lakers are not as good as they have been potrayed, and that is the reason they are on the brink of elimination . The Rockets are hungry and it seems like they are more enthused compared to the Lakers. Go Rockets

No the Lakers are as good as they've been cracked up to be. It is the Rockects who have been underestimated by the know it all pundits. But don't get it twisted. Kobe and the Lakers are going to show out and win on Sunday. As Rasheed Wallace would put it...'that's a guarantee'....
 
No the Lakers are as good as they've been cracked up to be. It is the Rockects who have been underestimated by the know it all pundits. But don't get it twisted. Kobe and the Lakers are going to show out and win on Sunday. As Rasheed Wallace would put it...'that's a guarantee'....

Right and wrong.. Lakers have been good all season long. Playoffs is all different league. Na ndo hapo Lakers wanapoonekana sio wazuri kihivyo. Timu haiwezi kuendelea kuitwa mzuri wakati ina struggle kuisambaratisha supposedly "underdog" timu ambayo its only two franchise players are out.

On the other hand, it's true that Rockets were being understimated. Lakini hata hivyo, Lakers should have closed this series by game 5 (if they were as good as we thought they were).

All in all, Lakers are not gonna fly over Denver (if they WIN game 7 against Rockets), if they keep playing soft game.

Come to think of it.....I'm smelling Camelo vs. Lebron finals.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom