NBA Playoffs

Status
Not open for further replies.
Kaishiwa school fees kwa hiyo wamemkatalia kujiandikisha kwenye madarasa ya mwaka ujao wa masomo...sasa atakuwa out of status na kurudi bongo hawezi. Umenisoma?
aah hayo mambo ya kawaida udsm hawana hata msosi ashukuru anapata hata msosi......

....kabla sijajua anaamka nazo chang'aa nilikuwa namshangaa......kuan siku aliniambia inabidi nifanyiwe DRE......nilicheka sana.....mchukulie kawaida
 
Pole na shida za maisha. Kaza buti na usikate tamaa. Piga double double utapata angalau hela ya kutosha kujiunga na ka Community college

Atleast umetoa dongo la maana....keep it up! Naona somo linaanza kukuingia vizuri....usirudie tena kunitukana mtu kama mimi!
 
aah hayo mambo ya kawaida udsm hawana hata msosi ashukuru anapata hata msosi......

....kabla sijajua anaamka nazo chang'aa nilikuwa namshangaa......kuan siku aliniambia inabidi nifanyiwe DRE......nilicheka sana.....mchukulie kawaida

Oh yeah....namwelewa huyu bwana. Ana matatizo ya anger management...sasa ukichanganya hiyo na adha zingine za maisha ndio inakuwa tabu.
 
Najua kuwa huta thubutu tena kunitukana kima we....ujinga ujinga wako huko huko kwa wapuuzi wenzako na usiniletee mimi!! Mjinga kabisa wewe, na uache kushinda JF, acha umbea ama sivyo watu wataendelea kukubandulia mademu zako na utaendelea kulea watoto wa kina Tyrone.....haya sasa ukakojoe ukalale!! Hahahaha wanasema ngoma ya kitoto haikeshi, ulimi huoooo kama jibwa koko!! Uchekibob wako wa kwenye internet huko huko.....pumbaf ambae hujafunzwa adabu na wazazi wako!

asante kwa kulifundisha adabu hili lijamaa, labda litatia akili na kujijua kuwa ni mtu mzima. Hebu akupishe huko!!!
 
Oh yeah....namwelewa huyu bwana. Ana matatizo ya anger management...sasa ukichanganya hiyo na adha zingine za maisha ndio inakuwa tabu.

Mimi na wewe nani mwenye anger mgt issues!? Angalia tu usiwe unajisema mwenyewe....
 
aah hayo mambo ya kawaida udsm hawana hata msosi ashukuru anapata hata msosi......

....kabla sijajua anaamka nazo chang'aa nilikuwa namshangaa......kuan siku aliniambia inabidi nifanyiwe DRE......nilicheka sana.....mchukulie kawaida

Naona unajipendekeza kwa kwenda mbele....leo ni siku ya huyu domo nyenga mshinda JF 24/7...sina time na wewe! Nenda kalale...
 
Naona unajipendekeza kwa kwenda mbele....leo ni siku ya huyu domo nyenga mshinda JF 24/7...sina time na wewe! Nenda kalale...

Kama umeishiwa school fees kama wakati ule sema tu. Watu wanaweza wakakupigia doneee....usione aibu....

Pua ya mamako
 
You wish ungetokea kwenye familia kama niliyotokea mimi....

Anasema ametoka kwenye familia/maisha mazuri sana huko nyuma.

Lakini hayakuwa mazuri enough for him to hang around, akapotelea Atlanta, Georgia, habari ya kwao hapana taka sikia.

Kutoka familia bora kujiunga na familia za makaratasi...
 
Last edited by a moderator:
Somo la leo bila shaka limeeleka....sidhani kama utarudia tena, kama ukirudia kutakuwa na re-match!!! Haya endelea na routine yako ya 24/7 ktk JF! Bye....
 
Okay, pokea hili basi.....kende za babako....zimenywea kaa zabibu

Kama zako, wewe Nyani uliyekosa adabu. Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Habari ndio hiyooo mwanaharamu wewe.


Unaichukua JF kama mali yako. Wewe kila mtu ni kutukana, kama sivyo ni kukejeli ili kumprovoke kuleta league zisizo na maana.
 
Somo la leo bila shaka limeeleka....sidhani kama utarudia tena, kama ukirudia kutakuwa na re-match!!! Haya endelea na routine yako ya 24/7 ktk JF! Bye....

Uache tabia ya kuomba hela watu ambao hata huwajui kwenye mtandao. Kama ulikuja na bank statement ya Salamander huku ukijua huwezi kumudu ada ya shule, hilo ni tatizo lako na usitake kuwatwisha wengine mzigo wako.

Unakumbuka siku ile bwana deleted ulivyokuwa unapiga simu na kutuma text massages kama huna akili nzuri. Na mimi nikakutosa.....sweeeeet....Heheheheheheheee.....
 
Last edited:
Kama zako, wewe Nyani uliyekosa adabu. Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Habari ndio hiyooo mwanaharamu wewe.


Unaichukua JF kama mali yako. Wewe kila mtu ni kutukana, kama sivyo ni kukejeli ili kumprovoke kuleta league zisizo na maana.

Wewe nakuacha kwa sababu unatafuta attention kwa kulazimisha. Carry on and this will be my last post addressing your nonsensical rigmarole.

NB: Na hujui mimi niko wapi. Ninaweza nikawa niko MN, GA, FL, au Kathmandu. Acha ku guess guess locale yangu. You simply don't know.
 
Lakers hawawezi kuchukua ubingwa...

Heheheheheee...unaona deficit waliyonayo Rockets lakini....?

Halafu vipi, umesha resign kuwa hii series (Rockets) hawashindi tena na ndio maana unasema Lakers ubingwa hawatachukua?
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom