Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
aah hayo mambo ya kawaida udsm hawana hata msosi ashukuru anapata hata msosi......Kaishiwa school fees kwa hiyo wamemkatalia kujiandikisha kwenye madarasa ya mwaka ujao wa masomo...sasa atakuwa out of status na kurudi bongo hawezi. Umenisoma?
....kabla sijajua anaamka nazo chang'aa nilikuwa namshangaa......kuan siku aliniambia inabidi nifanyiwe DRE......nilicheka sana.....mchukulie kawaida