Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,212
- 113,505
Ok Time out now.........for both of you...what is the really reason ya nyie kuanza kutupuana maneno lakini eeh...............It doesnt worthy it period....Nyie ni friends and mnawapa faida tuu watu hapa jamani....please you two really need to stop this yadah yadah yadah!........
Haya Cuppy stop it now and you......... YNIM also need to stop arguing....why lakini eeh why?.....manatupiana maneno hivi then msije mkakutana .........one on one one day alafu mkapigana visu kama akina Raymond kapalata au incident kama za akina Walter Mazula hapa...
Hahahahaaa..don't worry Cuppy. I got this one. Anajifanya ananijua kitu ambacho kwa kweli ni kichekesho kushinda hata ile video aliyobandika Yo Yo hapa.
Na mchallenge kama anadhani ananijua, ataje mimi ni nani na niko wapi na ninafanya nini maana kila kitu mpaka sasa anachodai ni hola!!
Bwana YNIM, the floor is yours. Tell everything that you "think" you know about me...everything that si gonna mortify me....say it....