Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona mabadiliko Sana. D league imepanda chat sana.
Wale watu wa NBA anything to say?
Sioni uzi wa NBA..
D league kuna wachezaji wazuri sana wengine kuliko hata walioko NBA. Nimemuona Mkongo kutoka D league amekuwa drafted ná Golden States Warriors.
Nilicho shangaa huu utaratibu wa Ku draft kutoka D league..ulikuwepo??Au umeanza juzi?....
Halafu USA Olympic kama wanazidiwa..
Big 3 sijawaona hata top 7..
Okay kumbe wanafadhiliwa na NBA. sells D-League sponsorship to Gatorade, renames it G-League
Lonzo na Lamelo imekuwaje?Siwasikii tena
Nilicho shangaa huu utaratibu wa Ku draft kutoka D league..ulikuwepo??Au umeanza juzi?....
Halafu USA Olympic kama wanazidiwa..
Big 3 sijawaona hata top 7..
Sasa hivi draft prospects wanapewa options za kuchagua either kubaki chuo au kujoin D League.
Sasa hivi draft prospects wanapewa options za kuchagua either kubaki chuo au kujoin D League.
So wanacheza D league mwaka mzima kabla ya NBA??
So naona college basketball itapungua chat..
D league na hao kina Lamelo wataongezeka..
Changamoto ya college ni malipo, vijana hawalipwi hata shilingi, ila tunakoenda wataanza kuwalipa, mfano ni siku chache zilizopita wamepitisha makubaliano kwamba wachezaji wa college wanaruhisiwa kusaini endorsements, kitu hii haikuwepo
So naona college basketball itapungua chat..
D league na hao kina Lamelo wataongezeka..
So wanacheza D league mwaka mzima kabla ya NBA??
Naona global basketball imekuwa sana..
Mfano big 3 .. USA kwa wanaume hawapo hata top 7 ya Olympics..
Wachezaji wa nje ya USA watakuwa wengi sana NBA