Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 4,941
- 6,190
The Greek freek Giannis antekounmpo anakwenda kumpumzisha gwiji Lebron soon. Lebron asisubiri aibu ang'atuke mapema awache damu changa
Huwezi tu ukaangalia one final series (*tena ambayo bado haijaisha) ukaconclude "Giannis anakwenda kumpumzisha gwiji LeBron". Mind you, LeBron ametolewa kwa sababu ya injuries if AD was healthy chances are angekuwa kwenye finals right now. Pili kama kweli unafatilia kikapu utakubaliana na mimi kwamba endapo Kyrie Irvin asingeumia Bucks wasingefika finals. LeBron is one of The Greatest Of All Time (GOATs) kwenye kikapu, sure his dominance kwenye mechi imepungua with age, the guy is 36 now but he still is the face of the NBA at least mpaka astaafu rasmi.The Greek freek Giannis antekounmpo anakwenda kumpumzisha gwiji Lebron soon. Lebron asisubiri aibu ang'atuke mapema awache damu changa
View attachment 1860056
Small team vs bigger team. Mby city ikifanya maajabu hata kuwa ya pili tu kwa sababu kuna mtu wa ajabu kwa nini isistaajabishe?Huwezi tu ukaangalia one final series (*tena ambayo bado haijaisha) ukaconclude "Giannis anakwenda kumpumzisha gwiji LeBron". Mind you, LeBron ametolewa kwa sababu ya injuries if AD was healthy chances are angekuwa kwenye finals right now. Pili kama kweli unafatilia kikapu utakubaliana na mimi kwamba endapo Kyrie Irvin asingeumia Bucks wasingefika finals. LeBron is one of The Greatest Of All Time (GOATs) kwenye kikapu, sure his dominance kwenye mechi imepungua with age, the guy is 36 now but he still is the face of the NBA at least mpaka astaafu rasmi.
Kuna great players kama KD ambaye in my opinion he has what it takes kurithi mikoba from LBJ. Nakubaliana na wewe kwamba Giannis anayo nafasi, ila he needs to prove himself first. Washinde hii series, apate FMVP yake na Ring, then ashinde finals nyingine na nyingine. Aonyeshe uwezo wa ku carry his team against opponents who are at their full capacity etc. etc.
Hapa hatuzungumzii kustaajabisha mkuu point ni Giannis sio tu kwamba hajampita LeBron, bali hata kumfikia bado sana. Usubiri kama miaka 10 ijayo ndio utapata jibu, sio tu kwasababu he is about to win a finals series for the first time in his career basi he's now the best NBA player.Small team vs bigger team. Mby city ikifanya maajabu hata kuwa ya pili tu kwa sababu kuna mtu wa ajabu kwa nini isistaajabishe?
Kama sikosei the GREEK FREAK ana miaka 27 na Lebron 36 hivyo kwa sasa huwezi ukawafananisha lakini kama wote wangekuwa miaka 27 bado Lebron angekuwa juu ya the GREEK FREAK.
Ni 26 mkuu, umemzeesha kidogo
Duh! Ulipotea sana aisee!! Mzima weye!? Nimefurahi kukuona.
Ahahaha, nipo mkuu, nilikua frustrated as a former Cavs fan jinsi Curry alikua anatunyanyasa nikasusia nba kabisa.
Now my new team Bucks tunasubiri masaa machache tunafungua champagne na party inaanza
Good luck and all the best. I am rooting for Phoenix tonight to force game 7. Yes it can be done if the whole team play with determination and purpose (0 turnovers )
I feel you Honestly anything can happen, hizi team hazijapishana sana, sema naona kama Bucks they want it more. Anyways may the best team win. All the best
Kama hajachukua kombe kwa miaka 50 anakuwaje mkubwa?Hapa hatuzungumzii kustaajabisha mkuu point ni Giannis sio tu kwamba hajampita LeBron, bali hata kumfikia bado sana. Usubiri kama miaka 10 ijayo ndio utapata jibu, sio tu kwasababu he is about to win a finals series for the first time in his career basi he's now the best NBA player.
Na pia naomba ufafanuzi kwenye mfano wako Small team vs Bigger team kwamba Bucks ni small team? bigger ni ipi?
Mambo tayari, mkeka ushachanika wasenge wanaroho ya paka, walipi catch 70- 70 niliamua kulala nikajua hapo tayari phonex hatarudi nyuma, bucks walistack kwenye point 77 zaidi ya dk 5. Inaoneshaa bucks mzigo wote walimtupia Giannis kama sisi tunavyomtupiaga Samata, ingeweza kuwa cost.Ahahaha, nipo mkuu, nilikua frustrated as a former Cavs fan jinsi Curry alikua anatunyanyasa nikasusia nba kabisa.
Now my new team Bucks tunasubiri masaa machache tunafungua champagne na party inaanza