Navigator21
JF-Expert Member
- Aug 26, 2018
- 298
- 324
Huo ushauri hapo juu nimeandika kwa ajili ya wanaume,sijajua wewe kimekuuma nini mkuu.!Naona uchafu wako wa tabiaa...utakuwa ni kwasababu ya mamayako..
Kweli kabisa Usioe mke Kama Mama yako
Isitoshe sijakutaja wala kukuhusisha kwenye maneno yangu hapo juu.
Kuhusu hiyo part ya mama yangu,ngoja nikuache tu