mjepo
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 4,913
- 916
Tangu akiwa chama cha mapinduzi bwana huyu edward Lowasa amekuwa si mwadilifu kwenye utendaji wake hali ambayo imefanya nisiwe mfuasi wake katika siasa zake,
Baada ya kuwa amehamia chadema na kuanza kampeni Lowasa ameonesha kuwa mtu dhaifu kiafya na asiyekuwa na hoja kabisa ya kushawishi watu kiasi kwamba waweze kumchagua,
Binafsi sielewi Lowasa anasimamia hoja gani kwenye kampeni zake zaidi nasikia anataja matatizo yaliyopo kwenye jamii na kusema naomba kula.
mbaya zaidi mzee huyu ameshindwa kabisa kumudu jukwaa hata kwa dk kumi hali ambayo inafanya nizidi kukosa kabisa imani naye kuwa anafaa kuwa kiongozi.
Baada ya kuwa amehamia chadema na kuanza kampeni Lowasa ameonesha kuwa mtu dhaifu kiafya na asiyekuwa na hoja kabisa ya kushawishi watu kiasi kwamba waweze kumchagua,
Binafsi sielewi Lowasa anasimamia hoja gani kwenye kampeni zake zaidi nasikia anataja matatizo yaliyopo kwenye jamii na kusema naomba kula.
mbaya zaidi mzee huyu ameshindwa kabisa kumudu jukwaa hata kwa dk kumi hali ambayo inafanya nizidi kukosa kabisa imani naye kuwa anafaa kuwa kiongozi.