ok thanksIlala sokoni alfajiri
Nazi 300,400,500,600
Za mafungu zipo pia
Nikipindi cha mvua hiki hakuna mahali unaweza ukipata kwa 300 au 400Ilala sokoni alfajiri
Nazi 300,400,500,600
Za mafungu zipo pia
Nikipindi cha mvua hiki hakuna mahali unaweza ukipata kwa 300 au 400
Ilala sokoni alfajiri
Nazi 300,400,500,600
Za mafungu zipo pia
Nategemea ni sahihi. Hata sterio temeke
Nimfanya biashara, nazielewa vizur timing zakeSawa
Hope wewe ni dalali Ilala
madam nmeenda ilala lakn nmekuta bei ya chini 600 ,, kuna muuzaj yyte unaeza kuwa unamfaham anauza kwa bei za 300?Ilala sokoni alfajiri
Nazi 300,400,500,600
Za mafungu zipo pia
madam nmeenda ilala lakn nmekuta bei ya chini 600 ,, kuna muuzaj yyte unaeza kuwa unamfaham anauza kwa bei za 300?
Ulienda saa ngap?
Pia chanika kuna watu wanaangua kule ukienda unaweza kupata kwa bei poa
Subiri kajua katoke uangalie upepo,
Jana nimeuliza nikaambiwa hakukuwa na mazao mengi sokoni gari zinaogopa kukwama maporini