Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,615
- 38,588
Nayashauri haya makampuni makubwa ya simu kunzisha fixed account ambazo tutakua na uwezo wakuweka pesa tu bila kutoa hata iwe mvua liwake jua kwa kipindi cha mwaka na zaidi.
Mteja apewe options ya kuchagua muda ambao ataweza kuitoa pesa yake. Options ziwe mbili kutoa baada ya muda flani au kutoa baada ya kufikisha kiasi flani.
Pia kua na option ya kila wiki au siku lazima uweke kiasi fulani humo kwenye akaunti yako usipoweka watumie kale katabia kasongesha hata ukiweka salio walifyeke waweke kwenye account yako.
Anyway nimeyafikiria haya baada ya bar nyingi kua na huduma ya lipa kwa mpesa.
Mteja apewe options ya kuchagua muda ambao ataweza kuitoa pesa yake. Options ziwe mbili kutoa baada ya muda flani au kutoa baada ya kufikisha kiasi flani.
Pia kua na option ya kila wiki au siku lazima uweke kiasi fulani humo kwenye akaunti yako usipoweka watumie kale katabia kasongesha hata ukiweka salio walifyeke waweke kwenye account yako.
Anyway nimeyafikiria haya baada ya bar nyingi kua na huduma ya lipa kwa mpesa.