Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,518
- 9,721
Dini na zenyewe zinafanya matambiko, au hujui kuwa kuhiji ni tambiko? Au kwavile hayo mahekalu hayapo Afrika?kwa uelewa wangu imani yeyote ambayo haimuhusishi Mungu aliye hai ni ushirikina... kufanya matambiko ni ushirikina pia hauna tofauti na uchawi