KUSHOKA
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 517
- 193
Vijana wanapopeana changamoto
Ney alianza kuharibu alipoanza kuimba nyimbo za kutukana na pumba zinazofanana na hizo
Wote tu wanaimba matusi na video pia, watoto mtaani wanazipenda nyimbo zao wanaziimba sana lakini hawajijui wanatamka maneno yana maana gani. Aibu unajiskia wewe mtu mzima unapomsikia mtoto anavyoimba matusi matusi.Diamond nae siku hizi anatukana sana tatizo ni nini
Labda wanahisi nyimbo zao ndo zitapendwa zaidiWote tu wanaimba matusi na video pia, watoto mtaani wanazipenda nyimbo zao wanaziimba sana lakini hawajijui wanatamka maneno yana maana gani. Aibu unajiskia wewe mtu mzima unapomsikia mtoto anavyoimba matusi matusi.
-wasanii ni vioo vya jamii lakini ndio watu wanaoongoza kuiharibu jamii kwa kujua au bila kujua.
Uamuzi wako.Hivi Paving wanauza kwa Piece au kwa Square metre?
Siwezi kukubishia!Napingana na wewe milion 300 inatoa nyumba nzuri sana yaani sana
Kwanini tubishane njoo kijichi utembee tembeeSiwezi kukubishia!
Uko sawa
Maana Uzuri wa Jambo upo machoni mwa mtu,
Kwanini tubishane njoo kijichi utembee tembee
Ukiwa na 100 na kiwanja yani unatoa nyumba kali sna sasa ukizungumzia miatatu sio mchezo hasa kwa sisi tunaopenda nyumba nzuri sio ili mladi nyumba nzuri
NB KMA HUNA NYUMBA NA HUJAWAI KUJENGA AU UNAONA WANAJENGA HUWEZI ELEWA BUT 300 MLN NI MZIGO MKUBWA KWA NYUMBA TENA MKUBWA HASWA
So kweli south afrika kumiliki nyumba au ardhi so jambo dogo huwezi ukasema bongo nyumba ni ghali kuliko southBongo wapo watu wana nyumba za hadi bilioni 2 -3, shida ni pale,HII YA BILIONI 3 BONGO ambayo hata haina mazingira mazuri huduma muhimu barabara mbaya, NDIO KULE SOUTH WANANUNUA KWA HIYO MILIONI 300 -500 na zina huduma zote muhimu kwa binadamu na zipo kwenye maoneo ya KITAJIRI.
Duuh iv unajali muda wako kweliMimi nakubaliana na NAY wa Mitego! Nyumba ya Millioni 300 ni ya kawaida sana!
Mfano halisi:
Kiwanja tu eneo zuri mara nyingi haipungui 15millioni: na ukisema upate hekari moja gharama inazidi zaidi!
Kujenga Nyumba mpaka Size ya Kupaua: haiwezi pungua 30million (1master, 2bedrooms, 1 public, dining and sitting room) na hapo nyumba haijafuata standards, Ninaposema Std kwa mfano Master inabidi iwe SUIT( Full au wanaita Studio)
Ukiweka Jamvi Gharama zitazidi: Zinaweza kufika 40million
Highlight: Tofali 3500-4500 @1000 bila usafiri, Mchanga lori moja @ 250,000 Kokoto Zimepigwa marufuku, so ukisema uagize semi kutoka Moro ni almost 3,000,000 @ Mchanga umepigwa marufuku baadhi ya Maeneo!
NondoTani moja (96pcs} ni 1,500,000 na inategemea Ramani yako!
Hapo Hujafika ktk Bati; Bati Stnd kabisa Nzuri Nyingi zinaanzia 18,390-24,000 @metre hapo hujui utahitaji pcs ngapi ingawa Nyumba Nyingi zina Eneo kuanzia 100 sqm mpaka hadi 400 sqm n.k
Ukija Mbao, Ni Gharama sana! Kwa Mfano tu Mdogo, Mrunda 1 pcs @7500, Na Mbao zingine zinauzwa kwa futi
Hujafika Misumari ambayo unakuta 3'' $ 4 ambayo ni 3500-4000 per Kilo
Cement unaweza ukatumia even more than 100bags @12,000
Hatujalipa Mafundi hapo! Hatujanunua Maji!
Finishing:
Tiles nzuri kabisa ni kuanzia 30,000 per box na nyingi zina 30cmx30cm, utajua wewe una eneo kiasi gani, hapo sijaweka Rafu
Frame za milango na Milango @minimum 500,000
Dirisha Moja kukamilika @ minimum 500,000
Hujafanya wiring pamoja na plumbing it can cost more than 2m
Ceiling board, blundering! Mbao balaa!!!!!!!!!
Hujapiga Plasta
Hujaweka Vyuo
Mabafu
Hujapiga rangi
Hujaweka Samani ndani
Hivi hiyo Millioni 20 au 18 ni ya kununulia kiwanja au Kujenga mpaka Lenta?????
Tusipende kubishana na watu waliothubutu kufanya Mambo! Wanafahamu!
Swimming pool ya kawaida kabisa kawaida ni 40millioni!
Tunaposema Nyumba, Ni Nyumba yenye Std, siyo Mnasubiriana kupishana!
haya ni maoni Yangu!