Nay wa Mitego: Nyumba ya Mill 300 Diamond aliyonunua South Africa mimi nimejenga Tabata

Bongo wapo watu wana nyumba za hadi bilioni 2 -3, shida ni pale,HII YA BILIONI 3 BONGO ambayo hata haina mazingira mazuri huduma muhimu barabara mbaya, NDIO KULE SOUTH WANANUNUA KWA HIYO MILIONI 300 -500 na zina huduma zote muhimu kwa binadamu na zipo kwenye maoneo ya KITAJIRI.
 
Nyumba ya mil.300 halafu anamiliki murano old model na prado model ya kati......wasanii wa bongo kwa kujikweza haeajambo ndio maana chibu huwa anaweka na video kabisa kumaliza ubishi....sasa huyu wa tabata hata picha hajaweka
Je na huyo ambae anaendesha X6 ya msaada ambayo aliinunua mwanaume mwenzake ikiwa used kutoka japan then ikalamba km nyingi bongo ndo mpaka hao mabisi zake domo wakampooza mshkaji ili wampe domo
 
Mimi nakubaliana na NAY wa Mitego! Nyumba ya Millioni 300 ni ya kawaida sana!
Mfano halisi:
Kiwanja tu eneo zuri mara nyingi haipungui 15millioni: na ukisema upate hekari moja gharama inazidi zaidi!
Kujenga Nyumba mpaka Size ya Kupaua: haiwezi pungua 30million (1master, 2bedrooms, 1 public, dining and sitting room) na hapo nyumba haijafuata standards, Ninaposema Std kwa mfano Master inabidi iwe SUIT( Full au wanaita Studio)
Ukiweka Jamvi Gharama zitazidi: Zinaweza kufika 40million
Highlight: Tofali 3500-4500 @1000 bila usafiri, Mchanga lori moja @ 250,000 Kokoto Zimepigwa marufuku, so ukisema uagize semi kutoka Moro ni almost 3,000,000 @ Mchanga umepigwa marufuku baadhi ya Maeneo!
NondoTani moja (96pcs} ni 1,500,000 na inategemea Ramani yako!

Hapo Hujafika ktk Bati; Bati Stnd kabisa Nzuri Nyingi zinaanzia 18,390-24,000 @metre hapo hujui utahitaji pcs ngapi ingawa Nyumba Nyingi zina Eneo kuanzia 100 sqm mpaka hadi 400 sqm n.k

Ukija Mbao, Ni Gharama sana! Kwa Mfano tu Mdogo, Mrunda 1 pcs @7500, Na Mbao zingine zinauzwa kwa futi
Hujafika Misumari ambayo unakuta 3'' $ 4 ambayo ni 3500-4000 per Kilo

Cement unaweza ukatumia even more than 100bags @12,000

Hatujalipa Mafundi hapo! Hatujanunua Maji!

Finishing:
Tiles nzuri kabisa ni kuanzia 30,000 per box na nyingi zina 30cmx30cm, utajua wewe una eneo kiasi gani, hapo sijaweka Rafu
Frame za milango na Milango @minimum 500,000
Dirisha Moja kukamilika @ minimum 500,000
Hujafanya wiring pamoja na plumbing it can cost more than 2m
Ceiling board, blundering! Mbao balaa!!!!!!!!!
Hujapiga Plasta
Hujaweka Vyoo
Mabafu
Hujapiga rangi
Hujaweka Samani ndani

Hivi hiyo Millioni 20 au 18 ni ya kununulia kiwanja au Kujenga mpaka Lenta?????

Tusipende kubishana na watu waliothubutu kufanya Mambo! Wanafahamu!

Swimming pool ya kawaida kabisa kawaida ni 40millioni!

Tunaposema Nyumba, Ni Nyumba yenye Std, siyo Mnasubiriana kupishana!

haya ni maoni Yangu!
 
Nyumba ya mil.300 halafu anamiliki murano old model na prado model ya kati......wasanii wa bongo kwa kujikweza haeajambo ndio maana chibu huwa anaweka na video kabisa kumaliza ubishi....sasa huyu wa tabata hata picha hajaweka
hichi kiazi cha wapi kwani
 
Bongo wapo watu wana nyumba za hadi bilioni 2 -3, shida ni pale,HII YA BILIONI 3 BONGO ambayo hata haina mazingira mazuri huduma muhimu barabara mbaya, NDIO KULE SOUTH WANANUNUA KWA HIYO MILIONI 300 -500 na zina huduma zote muhimu kwa binadamu na zipo kwenye maoneo ya KITAJIRI.
Hivi we bwege ushawahi kusafiri kweli.
Tafuta kazi hiyo ya kumsifia mwanaume mwenzio kwenye kila post haikufai. otherwise olewa ukaishi madale tujue moja
 
Mimi nakubaliana na NAY wa Mitego! Nyumba ya Millioni 300 ni ya kawaida sana!
Mfano halisi:
Kiwanja tu eneo zuri mara nyingi haipungui 15millioni: na ukisema upate hekari moja gharama inazidi zaidi!
Kujenga Nyumba mpaka Size ya Kupaua: haiwezi pungua 30million (1master, 2bedrooms, 1 public, dining and sitting room) na hapo nyumba haijafuata standards, Ninaposema Std kwa mfano Master inabidi iwe SUIT( Full au wanaita Studio)
Ukiweka Jamvi Gharama zitazidi: Zinaweza kufika 40million
Highlight: Tofali 3500-4500 @1000 bila usafiri, Mchanga lori moja @ 250,000 Kokoto Zimepigwa marufuku, so ukisema uagize semi kutoka Moro ni almost 3,000,000 @ Mchanga umepigwa marufuku baadhi ya Maeneo!
NondoTani moja (96pcs} ni 1,500,000 na inategemea Ramani yako!

Hapo Hujafika ktk Bati; Bati Stnd kabisa Nzuri Nyingi zinaanzia 18,390-24,000 @metre hapo hujui utahitaji pcs ngapi ingawa Nyumba Nyingi zina Eneo kuanzia 100 sqm mpaka hadi 400 sqm n.k

Ukija Mbao, Ni Gharama sana! Kwa Mfano tu Mdogo, Mrunda 1 pcs @7500, Na Mbao zingine zinauzwa kwa futi
Hujafika Misumari ambayo unakuta 3'' $ 4 ambayo ni 3500-4000 per Kilo

Cement unaweza ukatumia even more than 100bags @12,000

Hatujalipa Mafundi hapo! Hatujanunua Maji!

Finishing:
Tiles nzuri kabisa ni kuanzia 30,000 per box na nyingi zina 30cmx30cm, utajua wewe una eneo kiasi gani, hapo sijaweka Rafu
Frame za milango na Milango @minimum 500,000
Dirisha Moja kukamilika @ minimum 500,000
Hujafanya wiring pamoja na plumbing it can cost more than 2m
Ceiling board, blundering! Mbao balaa!!!!!!!!!
Hujapiga Plasta
Hujaweka Vyuo
Mabafu
Hujapiga rangi
Hujaweka Samani ndani

Hivi hiyo Millioni 20 au 18 ni ya kununulia kiwanja au Kujenga mpaka Lenta?????

Tusipende kubishana na watu waliothubutu kufanya Mambo! Wanafahamu!

Swimming pool ya kawaida kabisa kawaida ni 40millioni!

Tunaposema Nyumba, Ni Nyumba yenye Std, siyo Mnasubiriana kupishana!

haya ni maoni Yangu!
Kiwanja 15M wapi huko maeneo ya tabata mkuu
 
Simuungi mkono Nay katika mambo mengi lakini kama umewahi kujenga nyumba ya kisasa utakubali million 300 kujenga nyumba ni kitu cha kawaida kwa sababu nyumba ya kawaida unatumia si chini ya mil 50 mbali kiwanja, nyumba ya kifahari zaidi unatumia million 300 kwani kuna nyumba gharama za fence wall yake tuu ni sawa na nyumba zetu hizi. Kurahisishwa gharama za ujenzi kulinifanya wakati ninajenga budget niliyotegemea kufanya kila kitu iishie kupaua na kunifanya nihangaike sana shikamoo nyumba.
 
Mimi nakubaliana na NAY wa Mitego! Nyumba ya Millioni 300 ni ya kawaida sana!
Mfano halisi:
Kiwanja tu eneo zuri mara nyingi haipungui 15millioni: na ukisema upate hekari moja gharama inazidi zaidi!
Kujenga Nyumba mpaka Size ya Kupaua: haiwezi pungua 30million (1master, 2bedrooms, 1 public, dining and sitting room) na hapo nyumba haijafuata standards, Ninaposema Std kwa mfano Master inabidi iwe SUIT( Full au wanaita Studio)
Ukiweka Jamvi Gharama zitazidi: Zinaweza kufika 40million
Highlight: Tofali 3500-4500 @1000 bila usafiri, Mchanga lori moja @ 250,000 Kokoto Zimepigwa marufuku, so ukisema uagize semi kutoka Moro ni almost 3,000,000 @ Mchanga umepigwa marufuku baadhi ya Maeneo!
NondoTani moja (96pcs} ni 1,500,000 na inategemea Ramani yako!

Hapo Hujafika ktk Bati; Bati Stnd kabisa Nzuri Nyingi zinaanzia 18,390-24,000 @metre hapo hujui utahitaji pcs ngapi ingawa Nyumba Nyingi zina Eneo kuanzia 100 sqm mpaka hadi 400 sqm n.k

Ukija Mbao, Ni Gharama sana! Kwa Mfano tu Mdogo, Mrunda 1 pcs @7500, Na Mbao zingine zinauzwa kwa futi
Hujafika Misumari ambayo unakuta 3'' $ 4 ambayo ni 3500-4000 per Kilo

Cement unaweza ukatumia even more than 100bags @12,000

Hatujalipa Mafundi hapo! Hatujanunua Maji!

Finishing:
Tiles nzuri kabisa ni kuanzia 30,000 per box na nyingi zina 30cmx30cm, utajua wewe una eneo kiasi gani, hapo sijaweka Rafu
Frame za milango na Milango @minimum 500,000
Dirisha Moja kukamilika @ minimum 500,000
Hujafanya wiring pamoja na plumbing it can cost more than 2m
Ceiling board, blundering! Mbao balaa!!!!!!!!!
Hujapiga Plasta
Hujaweka Vyuo
Mabafu
Hujapiga rangi
Hujaweka Samani ndani

Hivi hiyo Millioni 20 au 18 ni ya kununulia kiwanja au Kujenga mpaka Lenta?????

Tusipende kubishana na watu waliothubutu kufanya Mambo! Wanafahamu!

Swimming pool ya kawaida kabisa kawaida ni 40millioni!

Tunaposema Nyumba, Ni Nyumba yenye Std, siyo Mnasubiriana kupishana!

haya ni maoni Yangu!
nikisoma post yako na nikiangalia mshahara wangu tsh 700,000 kujenga nyumba kama hiyo ni ndoto
 
Nyumba ya mil.300 halafu anamiliki murano old model na prado model ya kati......wasanii wa bongo kwa kujikweza haeajambo ndio maana chibu huwa anaweka na video kabisa kumaliza ubishi....sasa huyu wa tabata hata picha hajaweka
So kwako gari ni boooonge La ishu?...utachelewa sana mzee kama unajaji utajiri au uwezo wa mtu kwa kuangalia gari anayotembelea
 
Mimi nakubaliana na NAY wa Mitego! Nyumba ya Millioni 300 ni ya kawaida sana!
Mfano halisi:
Kiwanja tu eneo zuri mara nyingi haipungui 15millioni: na ukisema upate hekari moja gharama inazidi zaidi!
Kujenga Nyumba mpaka Size ya Kupaua: haiwezi pungua 30million (1master, 2bedrooms, 1 public, dining and sitting room) na hapo nyumba haijafuata standards, Ninaposema Std kwa mfano Master inabidi iwe SUIT( Full au wanaita Studio)
Ukiweka Jamvi Gharama zitazidi: Zinaweza kufika 40million
Highlight: Tofali 3500-4500 @1000 bila usafiri, Mchanga lori moja @ 250,000 Kokoto Zimepigwa marufuku, so ukisema uagize semi kutoka Moro ni almost 3,000,000 @ Mchanga umepigwa marufuku baadhi ya Maeneo!
NondoTani moja (96pcs} ni 1,500,000 na inategemea Ramani yako!

Hapo Hujafika ktk Bati; Bati Stnd kabisa Nzuri Nyingi zinaanzia 18,390-24,000 @metre hapo hujui utahitaji pcs ngapi ingawa Nyumba Nyingi zina Eneo kuanzia 100 sqm mpaka hadi 400 sqm n.k

Ukija Mbao, Ni Gharama sana! Kwa Mfano tu Mdogo, Mrunda 1 pcs @7500, Na Mbao zingine zinauzwa kwa futi
Hujafika Misumari ambayo unakuta 3'' $ 4 ambayo ni 3500-4000 per Kilo

Cement unaweza ukatumia even more than 100bags @12,000

Hatujalipa Mafundi hapo! Hatujanunua Maji!

Finishing:
Tiles nzuri kabisa ni kuanzia 30,000 per box na nyingi zina 30cmx30cm, utajua wewe una eneo kiasi gani, hapo sijaweka Rafu
Frame za milango na Milango @minimum 500,000
Dirisha Moja kukamilika @ minimum 500,000
Hujafanya wiring pamoja na plumbing it can cost more than 2m
Ceiling board, blundering! Mbao balaa!!!!!!!!!
Hujapiga Plasta
Hujaweka Vyuo
Mabafu
Hujapiga rangi
Hujaweka Samani ndani

Hivi hiyo Millioni 20 au 18 ni ya kununulia kiwanja au Kujenga mpaka Lenta?????

Tusipende kubishana na watu waliothubutu kufanya Mambo! Wanafahamu!

Swimming pool ya kawaida kabisa kawaida ni 40millioni!

Tunaposema Nyumba, Ni Nyumba yenye Std, siyo Mnasubiriana kupishana!

haya ni maoni Yangu!
bado haifiki mil 300
 
Nyumba ya mil.300 halafu anamiliki murano old model na prado model ya kati......wasanii wa bongo kwa kujikweza haeajambo ndio maana chibu huwa anaweka na video kabisa kumaliza ubishi....sasa huyu wa tabata hata picha hajaweka

kupanga Ni kuchagua, hata angemilik starlet shda iko wapi??? watu kibao wanavitega uchumi vikubwa sana lkn wanamilik noah etc....na wengine hawana hata nyumba ila wanamilik magar ya mil 30 had 50 ..
 
Back
Top Bottom