Nay wa Mitego: Ntaurekebisha Wimbo Wangu Kama Rais Alivyoshauri Lakini Sitavuka Mipaka

Tayari Nsinzonje keshafanya yake, ukikubali kunywa gahawa ya magogoni tayari umeshakopa deni, ole wake aje akiuke makubaliano atakuja kukutana na wale jamaa wa palee..... wapi paleee!! ambao wanatumiaga tuplaizi kuhasi... na kung'oa vidole gumba. kama hajui ana deni la kumstahi mkuLu
 
Dah yaan tangu mkulu aseme hapangiwi, basi kila mtu naona hapangiwi cha kupost jf!
 
Sie tunautaka huu huu, akirekebesha apeleke ukapigwe ikulu na bungeni basi.
 
Kwa hiyo unatuambia kuwa UMEITWA KUELEKEZWA UIMBE BILA KUVUKA MIPAKA,sawa tumekuelewa imba usivuke mipaka kama ulivo imba huu bila kuvuka mipaka had akaupenda
 
Naanza kumuona ney mpya ney aliyeeditiwa sio ney yule aliyepata jina la ney kwa mambo ya kiney. Hakuna kubadilika rais amekujua kwa wimbo wako wa maneno makali sasa wanataka ubadilike. Hakuna baki ney yuleyule msemakweli sana Sana'a hapo ongeza tu shairi. KUNA WALIOKULA PESA ZA RAMBIRAMBI ZA KAGERA.. WAPOOOOO
 
Ney acha mambo yako wrw yeye kasema hspangiwi cha kufanya sasa iweje akupangie wew cha kuimba kataaaa hayo marekebisho ongezea maneno mengine zaid mambo gan hayo sasa kama anataka marekebisho apeleke akasikilize koromije na mwisho kusikika iwe ikul ila kitaa tunautaka huuhuu wa kwetu
 
Waliokula hela Za wahanga wa tetemeko wapo.
Wanaowapiga wake zao pia wapo
Wanaoingilia muhimili wa bunge Na mahakama wapo
Waliodanganya kuboresha maisha ya watanzania wakati wa kampeni wapo
Wanaodharau watoto wa maskini kwa Kuwaiti Vilaza pia wapo.
uchohezi
 
Ney acha mambo yako wrw yeye kasema hspangiwi cha kufanya sasa iweje akupangie wew cha kuimba kataaaa hayo marekebisho ongezea maneno mengine zaid mambo gan hayo sasa kama anataka marekebisho apeleke akasikilize koromije na mwisho kusikika iwe ikul ila kitaa tunautaka huuhuu wa kwetu
exactly
 
Back
Top Bottom