Mzee wa old school
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 492
- 804
Wakuu habari zenu! Mimi nina script ya tangazo la mitandao ya simu. Sasa nafanyaje nipate kuwasilisha hilo jambo?
Kwa anayefahamu tafadhali.
Kwa anayefahamu tafadhali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani mkuu...Kabla ya yooote hakikisha unaenda Copyright Society of Tanzania (COSOTA) kwa ajili ya kisajili hiyo script yako kisha baada ya usajili ndio uende sasa huko mtandao wa simu.
Ukifika huko hakikisha unatumia proper channel kufikisha hiyo kazi yako kwa wahusika sio mnapeana kichochoroni, hakikisha kabla ya kukabidhi hiyo kazi unakua na 'non disclosure agreement' na hii iambatane na dispatch wakati unawasilisha. Baada ya hapo kaa utulie kama itapita basi fanya nao kazi na ikikataliwa pita hivi.
Kila la kheri