Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,331
- 10,751
Nimekuwa myonge na nafsi Yangu inasononeko.
Sikosi chakula wala pakulala...Ila nakosa furaha moyoni, naona uzito rohoni mwangu, nakosa furaha kabisa.
Naona mambo yangu nashindwa yabeba.
Najitahidi kusali na kukumbuka maandiko ya Mungu, napata afueni kwa muda.
Japo najipa moyo kuwa kwenye uzito Kuna wepesi...Naamini nothing last forever not even our troubles.
Kuna muda nikitembea barabarani nikiona watu wanacheka nahisi wananicheka Mimi.
Huu Uzi hauhusu mahusiano ya kimapenzi kabisa.
Sinywi pombe, sivuti Bangi wala sigara.
Nifanyaje kupunguza Hali ya sononeko moyoni mwangu.
Sikosi chakula wala pakulala...Ila nakosa furaha moyoni, naona uzito rohoni mwangu, nakosa furaha kabisa.
Naona mambo yangu nashindwa yabeba.
Najitahidi kusali na kukumbuka maandiko ya Mungu, napata afueni kwa muda.
Japo najipa moyo kuwa kwenye uzito Kuna wepesi...Naamini nothing last forever not even our troubles.
Kuna muda nikitembea barabarani nikiona watu wanacheka nahisi wananicheka Mimi.
Huu Uzi hauhusu mahusiano ya kimapenzi kabisa.
Sinywi pombe, sivuti Bangi wala sigara.
Nifanyaje kupunguza Hali ya sononeko moyoni mwangu.