Nawezaje kuwa mwamuzi (referee) wa mpira wa miguu Tanzania?

Mbayo wa Giika

JF-Expert Member
Apr 9, 2014
205
106
Wadau naombeni msaada juu ya hili.

Mwanafunzi wangu anayetarajia kuhitimu kidato cha nne mwaka huu ameniomba nimwangalizie kwenye mtandao namna anavyoweza kuwa referee.
Ameomba kujua kiwango cha elimu kinachohitajika, muda wa kukaa darasani na ada. Kila nikigoogle sipati cha maana hata kwenye tovuti ya TFF hakuna cha maana.

Naombeni mwenye ufahamu atusaidie mtoto huyu afikie ndoto zake.
 
nami pia nawasubiri wataalamu watupe muongozo

pia refa wa ligi kuu tanzania analipwa kiasi gani
Nenda kaweke order yako mapema chama cha mpira mkoa/wilaya hua kozi zinakuja mara mbili kwa mwaka

Malipo
Refa wa kati ligi kuu anakula 400,000
4th official anachukua 350,000
Lensmen wanachukua 250 ,000

FDl na SDL
Refa wa kati 300,000
4th official ni 250,000
Lensmen ni 180,000


Malipo ni kwa mechi ila unakopwa kwa muda wa miezi 3
 
Fika kwenye chama chako cha soka ngazi ya wilaya, utapata majibu mazuri zaidi

Nenda kaweke order yako mapema chama cha mpira mkoa/wilaya hua kozi zinakuja mara mbili kwa mwaka

Malipo
Refa wa kati ligi kuu anakula 400,000
4th official anachukua 350,000
Lensmen wanachukua 250 ,000

FDl na SDL
Refa wa kati 300,000
4th official ni 250,000
Lensmen ni 180,000


Malipo ni kwa mechi ila unakopwa kwa muda wa miezi 3

Samahani ada za mafunzo ni kiasi gani? Tusaidie ili huyu mwanafunzi apate mwanga kabla ya kwenda huko kwenye chama cha soka maana yupo kijijini.
 
Nenda kaweke order yako mapema chama cha mpira mkoa/wilaya hua kozi zinakuja mara mbili kwa mwaka

Malipo
Refa wa kati ligi kuu anakula 400,000
4th official anachukua 350,000
Lensmen wanachukua 250 ,000

FDl na SDL
Refa wa kati 300,000
4th official ni 250,000
Lensmen ni 180,000


Malipo ni kwa mechi ila unakopwa kwa muda wa miezi 3
Samahani, unaweza kujua gharama za mafunzo ili tumsaidie huyu mhitimu mtarajiwa?
 
Back
Top Bottom