Nawezaje kutumia computer kama TV?

Chifyono

JF-Expert Member
Oct 16, 2017
921
1,658
Habari Jf

Naomba msaada wenu wa namna ya kutumia desk top computer aina ya hp compaq dc 78000 kama Tv

Nina kingamuzi cha Azam hivyo nahitaji muongozo wenu nini nifanye na kipi kinahitajika niweze fanikisha issue hii

Nawasilisha
 
Habari Jf

Naomba msaada wenu wa namna ya kutumia desk top computer aina ya hp compaq dc 78000 kama Tv

Nina kingamuzi cha Azam hivyo nahitaji muongozo wenu nini nifanye na kipi kinahitajika niweze fanikisha issue hii

Nawasilisha
Nunua tv box ni kati ya laki mpaka laki 2
 
Habari Jf

Naomba msaada wenu wa namna ya kutumia desk top computer aina ya hp compaq dc 78000 kama Tv

Nina kingamuzi cha Azam hivyo nahitaji muongozo wenu nini nifanye na kipi kinahitajika niweze fanikisha issue hii

Nawasilisha

TV BOX ya 45,000 inakutosha vizuri kabisa,
 
Kama upo dar nenda k.koo chukua TV box yako kama huna hela chukua hizo nazokwambia ila kama unatka mbwembwe kanunue ulizoambiwa na mshana...ila kwa kua maisha yako ndo haya haya chukua cha 45,000 kinaenda mpk 60,000
 
Kama upo dar nenda k.koo chukua TV box yako kama huna hela chukua hizo nazokwambia ila kama unatka mbwembwe kanunue ulizoambiwa na mshana...ila kwa kua maisha yako ndo haya haya chukua cha 45,000 kinaenda mpk 60,000
Asante sana mkuu 45000 itanifaa hakika

Hivi tofauti yake ni hizo za Mshana nini zaidi
 
Asante sana mkuu 45000 itanifaa hakika

Hivi tofauti yake ni hizo za Mshana nini zaidi
sijajua mkuu..maana ya mshana naionaga ila naipita kama sijaiona so natumiaga hizo za bei nlokutajia mkuu...Labda ni ubora japo sijui kwakweli tofauti yake kubwa n nini maana kama ni kazi nayoitaka hii ya 45 inafanya tena vizuri tuuu.

Akipatikana aliezitumia zote mbili atakwambia utofauti alio uona ila kwamimi nimetumia hiyo nlokutajia tu mkuu.
 
unaweza nunua USB AV grabber, ina matundu ya A/V ambayo utachomeka cable za picha na sauti kutoka kwenye kingamuzi,,
then unaweza kuangalia tv kupitia vlc,au application yoyote ile unayoipenda.......
bei ni 10-20k
 
unaweza nunua USB AV grabber, ina matundu ya A/V ambayo utachomeka cable za picha na sauti kutoka kwenye kingamuzi,,
then unaweza kuangalia tv kupitia vlc,au application yoyote ile unayoipenda.......
bei ni 10-20k
Asante mkuu
Ila mimi nahitaji nitumie kingamuzi na sio vinginevyo
 
Back
Top Bottom