Mwana wa Nuru
JF-Expert Member
- Dec 3, 2012
- 588
- 410
Naomba wataalam mnijuzi namna ya kutuma meseji kwa program ya excel.
Asante
Asante
Ongezeko la mafuta ni 400 hadi 500, ongezeko la nauli 2000, hapa ndipo nisipowaelewa Mwigulu and family
Naomba wataalam mnijuzi namna ya kutuma meseji kwa program ya excel.
Asante
Huenda ujumbe uliteleza ukaja kwangu🤣Tafuta ukiliki kwenye empty cell Kisha
Andika hii function =doc.message("a","(andika ujumbe wako")","(namba unayoitumia ujumbe)"
Mfano
=doc.message("a","mambo")","078876677"
Ni somo zuri japo sijui unatuma kwenda kwa nani mkuu, nimejibiwa by coincidence na mtaalamNaomba wataalam mnijuzi namna ya kutuma meseji kwa program ya excel.
Asante
Hiyo "a" inamaanisha nini, au yaweza kuwa herufi yoyote?Tafuta ukiliki kwenye empty cell Kisha
Andika hii function =doc.message("a","(andika ujumbe wako")","(namba unayoitumia ujumbe)"
Mfano
=doc.message("a","mambo")","078876677"
Formatting ya text a inawakilisha herufi,1ni number Na & Ni special characters.Hiyo "a" inamaanisha nini, au yaweza kuwa herufi yoyote?
Asante sana. Kama nataka kuwatumia watu wengi(namba tofauti ) inakuwaje? Kuna merging yoyote ya kufanya? Na hiyo sms itakwenda kwa app au program gani ya kuunga PC na simu, kama ni tofauti?Formatting ya text a inawakilisha herufi,1ni number Na & Ni special characters.
Kama utatumia vyote hapo nlipoweka "a" utaweka "a,1,&"
Kama sijakuelewa vibaya unataka kutuma bulk sms kwenda kwa watu wengi kwa kutumia ms excell.Naomba wataalam mnijuzi namna ya kutuma meseji kwa program ya excel.
Asante