Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,202
- 218
Tulifunga ndoa ya kiserikali mwaka mmoja uliopita.
Mwenzangu yuko mkoa mwingine mimi niko mkoa mwingine.Sasa mwenzangu hataki kuacha kazi ili aje tukae pamoja. Ingawa mwanzoni alikubali kuwa atahamia kwangu.
Kuvunja ndoa hataki, anang'ang'ania hayo makaratasi ya ndoa, hata document ambazo nilikuwa natafutia uhamisho kazichukua ndani kimyakimya.
Lakini kwa mazingira ya mbali amekuwa akinisaliti sana. Uwezo wa kumkamata sina sasa baada ya kufanya uzinzi wa kutosha.
Uzuri wake wote umeyeyuke, anataka kurudisha uhusiano kwa kuandikia vimeseji haya yote yalitokana na mimi kumpa ujauzito ingawa tulikuwa dini tofauti nilikubali kumuoa na tutakuwa dini moja.
Mimi naona hana msimamo, nifanyeje ili nivunje hii ndoa kisheria, yaani ameniweka mimi kama 'back up'ili mabuzi anayoyavizia yakimtosa ajirudishe kwangu.
Nimejaribu kutoka kisheria nimeshindwa. naambiwa hivi mara vile, hii sheria inawalinda wanawake kuliko nilivyodhani.
Naomba ushauri, mimba niliyompa iliharibika kutokana na ubishi wake wa kukataa kuchukua bed rest.
Hanisikii, mimi sina mpango naye tena ila nitoke vipi?
Kama kuna mtu ana idea na sheria anisaidie.
Mwenzangu yuko mkoa mwingine mimi niko mkoa mwingine.Sasa mwenzangu hataki kuacha kazi ili aje tukae pamoja. Ingawa mwanzoni alikubali kuwa atahamia kwangu.
Kuvunja ndoa hataki, anang'ang'ania hayo makaratasi ya ndoa, hata document ambazo nilikuwa natafutia uhamisho kazichukua ndani kimyakimya.
Lakini kwa mazingira ya mbali amekuwa akinisaliti sana. Uwezo wa kumkamata sina sasa baada ya kufanya uzinzi wa kutosha.
Uzuri wake wote umeyeyuke, anataka kurudisha uhusiano kwa kuandikia vimeseji haya yote yalitokana na mimi kumpa ujauzito ingawa tulikuwa dini tofauti nilikubali kumuoa na tutakuwa dini moja.
Mimi naona hana msimamo, nifanyeje ili nivunje hii ndoa kisheria, yaani ameniweka mimi kama 'back up'ili mabuzi anayoyavizia yakimtosa ajirudishe kwangu.
Nimejaribu kutoka kisheria nimeshindwa. naambiwa hivi mara vile, hii sheria inawalinda wanawake kuliko nilivyodhani.
Naomba ushauri, mimba niliyompa iliharibika kutokana na ubishi wake wa kukataa kuchukua bed rest.
Hanisikii, mimi sina mpango naye tena ila nitoke vipi?
Kama kuna mtu ana idea na sheria anisaidie.